Naomba maoni yenu wana JF kwa hili kwani ilikuwa tetesi kuwa Sitta hatakuwa spika na imekuwa.Je haiwezi kuwa Lowassa anataka Urais na akawa?Ebu angalieni njia aliyoitumia Chenge kumshambulia inaonyesha dhahiri kuwa lengo lake lilikuwa kuchafua hali ya hewa.