muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
Nasikia moja ya eneo kubwa la Chuo cha ufundi Karume kiliopo mbweni limemegwa na Mh haroun Ali suleiman na kulibeba kwa matumizi yake kwa kutumia nguvu bila kufuata utaratibu wowote wa kisheria, anakusudia kujenga hoteli au nyumba ya familia yake. ni eneo liliopo karibu kabisa na hosteli za wanafunzi na mpakani mwa chuo cha afya mbweni.
ametumia mamlaka yake ya uwaziri wa Elimu wakati huo ili kuhalalisha ukwapuaji wa kiwanja cha serekali bila hata kutoa shilingi moja. pia ameweka mlinzi kulinda eneo hilo la wazanzibar.
jee mh Iddi unajua uchafu uliofanywa na Haruna eneo hilo?
ametumia mamlaka yake ya uwaziri wa Elimu wakati huo ili kuhalalisha ukwapuaji wa kiwanja cha serekali bila hata kutoa shilingi moja. pia ameweka mlinzi kulinda eneo hilo la wazanzibar.
jee mh Iddi unajua uchafu uliofanywa na Haruna eneo hilo?