E=mcsquared
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 236
- 40
Hi everybody;
Naomba kum-vote Mh. Regia Mtema (RIP) kama mmojawapo wa wabunge waliokuwa wanaopendwa sana na jamii ya watanzania. Hii haimaanishi kuwa wabunge wetu wengine hatuwapendi, la hasha ila kusema ukweli viwango vya mapenzi huwa vinazidiana. Nadhani alikuwa anaongoza kwa wabinge wote wa JMT, hata wabunge wenyewe wameonyesha dalili thabiti kabisa za kukiri hili.
Angalizo: Nimekuja kugundua kuwa ukiingia Bungeni ukiwa kijana mdogo, halafu una hoja, unapendwa sana na watu including hata wale ambao unaopingana nao. Waoneni akina Zitto, Mnyika, Kafulila, AC (RIP), n.k.
Naomba kuanzia leo kum-vote kama mbunge ambaye amechukua namba moja kwa kupendwa na watanzania , hadi rekodi yake itakapovunjwa huko mbeleni, na ieleweke hivyo hata kwenye genes book of records ya Tanzania!
Mungu amlaze mahali pema peponi
Naomba kum-vote Mh. Regia Mtema (RIP) kama mmojawapo wa wabunge waliokuwa wanaopendwa sana na jamii ya watanzania. Hii haimaanishi kuwa wabunge wetu wengine hatuwapendi, la hasha ila kusema ukweli viwango vya mapenzi huwa vinazidiana. Nadhani alikuwa anaongoza kwa wabinge wote wa JMT, hata wabunge wenyewe wameonyesha dalili thabiti kabisa za kukiri hili.
Angalizo: Nimekuja kugundua kuwa ukiingia Bungeni ukiwa kijana mdogo, halafu una hoja, unapendwa sana na watu including hata wale ambao unaopingana nao. Waoneni akina Zitto, Mnyika, Kafulila, AC (RIP), n.k.
Naomba kuanzia leo kum-vote kama mbunge ambaye amechukua namba moja kwa kupendwa na watanzania , hadi rekodi yake itakapovunjwa huko mbeleni, na ieleweke hivyo hata kwenye genes book of records ya Tanzania!
Mungu amlaze mahali pema peponi