GATS
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 240
- 17
Waheshimiwa niliowataja hapo nawaomba waanzishe mchakato wa kuanzisha Television na Redio ya CDM ili tuweze kuyapeleka mageuzi kwa kasi. Mtaniuliza pesa itatoka wapi. Nasema pesa tunazo tutazitoa ilikuanzisha hivyo vituo cha muhimu ni organizers kutoka kwenye chama.
Tunaomba mliangalie hilo.
Tunaomba mliangalie hilo.