Ndugu yangu Nape naomba leo uwaambie watanzania kama rais wa Tanzania mheshimwa JK anakumbuka ahadi alizotoa toka ameingia madarakani na ngapi ametekeleza na ngapi ambazo bado na kwa nini bado. Na je kama CCM inajua kuwa mwanadamu anahitaji maji na kama anahitaji mbona maji hakuna?
Kama anahitaji huduma bora za afya mbona hapa TZ ni mbovu hadi nyinyi wakubwa mkiugua mankimbilia India kwa kuwa mnajua za hapa ni mbovu. Na kama CCM inajua elimu ni muhimu mbona leo wanafunzi wanahitumu shule ya msingi huku wakiwa wameshinda kwenda sekondari huku wakiwa hawajui kusoma na kuandika wakati nyinyi watoto wenu wanasoma ulaya kwa sababu elimu ya TZ mnaitambua kuwa haina kiwango.
Je bado CCM inaamini kuwa foleni barabarani ni maendeleo hii ni nukuu ya mwenyekiti wa CCM taifa. Na je umeme ni muhimu kwa maendeleo ya nchi mbona haupo au bado mko kwenye mchakato na wazee wa megawat.
Naomba kujuzwa ili nitulie nisulizie tena mambo ya maji,afya,umeme,elimu barabara kwa kuwa CCM imeisha timiza ahadi zake au mko kwenye mchakato. Na vile viwanja vya ndege vya kimataifa kila mkoa na mameli makubwa je.
Nape tiririka.
Kama anahitaji huduma bora za afya mbona hapa TZ ni mbovu hadi nyinyi wakubwa mkiugua mankimbilia India kwa kuwa mnajua za hapa ni mbovu. Na kama CCM inajua elimu ni muhimu mbona leo wanafunzi wanahitumu shule ya msingi huku wakiwa wameshinda kwenda sekondari huku wakiwa hawajui kusoma na kuandika wakati nyinyi watoto wenu wanasoma ulaya kwa sababu elimu ya TZ mnaitambua kuwa haina kiwango.
Je bado CCM inaamini kuwa foleni barabarani ni maendeleo hii ni nukuu ya mwenyekiti wa CCM taifa. Na je umeme ni muhimu kwa maendeleo ya nchi mbona haupo au bado mko kwenye mchakato na wazee wa megawat.
Naomba kujuzwa ili nitulie nisulizie tena mambo ya maji,afya,umeme,elimu barabara kwa kuwa CCM imeisha timiza ahadi zake au mko kwenye mchakato. Na vile viwanja vya ndege vya kimataifa kila mkoa na mameli makubwa je.
Nape tiririka.