Unaposema Rais lazima uwe specific, kumbuka kuna rais wa chama cha wasioona Tanzania, kuna rais wa cha cha waogeleaji Tanzania, Rais wa serikali ya wanafunzi UDOM nakadhalika. Ulitaka kumaanisha nani hasa ktk kipindi hiki ambacho hakuna Rais wa nchi
Nafikiri ni ndugu LEORDGA TENGA.Unaposema Rais lazima uwe specific, kumbuka kuna rais wa chama cha wasioona Tanzania, kuna rais wa cha cha waogeleaji Tanzania, Rais wa serikali ya wanafunzi UDOM nakadhalika. Ulitaka kumaanisha nani hasa ktk kipindi hiki ambacho hakuna Rais wa nchi