Mh Rais Tunaomba mikopo kwa kina mama na wajane

Ashura9

JF-Expert Member
Oct 21, 2012
739
484
12621953_1117245004960830_1746745252603006429_o.jpg


Rais Mh Magufuli akisoma bango toka kwa kina mama Arusha wakiomba awafikirie katika suala zima la kupewa mikopo kwa ajili ya ujasiriamali. Tunamwomba Mh JPM awafikirie mama zetu,dada zetu, wake zetu bibi zetu, watoto wetu.....
 
Back
Top Bottom