Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Tumeona wenzetu mara nyingi mmekuwa mkionekana mkifungua mjadala ama
kuona marafiki zenu hospit za serikali..nahisi hili ndilolinachangia kutothamini hosp za serikali na kuzifanya zikiwa kama dampo la walala hoi,..embu aminini mkitka muhimbili,mwananyamala,temeke iwe kama aghakan ,regency inawezekana kabisa kuweni makini mijadala yenu hakikisheni pesa zinapeelekwa zinasimamiwa na maharamia wa miradi ..ya kuboresha hosp zetu hakika mtakuwa kihudhuria kama mnavyojazana kwenye mistari pale aghakhan.......Mh rais maa ya mwisho nimekuona ukifungua sijui mradi wa nini wew e hata ndugu sidhan wanatibiwa muhimbili ama hosp za serikali,,.majuzi nimeona mama yetu waziri wa biashara na viwanda nkatiwa moyo kuona mwanae akiwa amaejifungua akija kumtembelea...mh shein nakupongeza kwa kumleta mwanao kujifungua muh ahata kama ni fast truck....big up wote wanothamni serikaliza hospit zetu
kuona marafiki zenu hospit za serikali..nahisi hili ndilolinachangia kutothamini hosp za serikali na kuzifanya zikiwa kama dampo la walala hoi,..embu aminini mkitka muhimbili,mwananyamala,temeke iwe kama aghakan ,regency inawezekana kabisa kuweni makini mijadala yenu hakikisheni pesa zinapeelekwa zinasimamiwa na maharamia wa miradi ..ya kuboresha hosp zetu hakika mtakuwa kihudhuria kama mnavyojazana kwenye mistari pale aghakhan.......Mh rais maa ya mwisho nimekuona ukifungua sijui mradi wa nini wew e hata ndugu sidhan wanatibiwa muhimbili ama hosp za serikali,,.majuzi nimeona mama yetu waziri wa biashara na viwanda nkatiwa moyo kuona mwanae akiwa amaejifungua akija kumtembelea...mh shein nakupongeza kwa kumleta mwanao kujifungua muh ahata kama ni fast truck....big up wote wanothamni serikaliza hospit zetu