Mh. Rais Kikwete Akiwa Ziarani Jamaica: Picha ya kukumbukwa!

Kweli watanzania tumezidi kulalamika sana. Kila siku kuna mjadara wa kumlalamikia Muungwana hapa JF badala ya kutafuta ufumbuzi. So far matatizo ya Mkuu wa kaya tunayajua; 1) Uwezo na kipaji cha kuongoza hana, 2) Afya yake tusha juwa iko mushkeri, akitoka kwenye hiyo safari ya siku 10 haitakuwa ajabu mkiambiwa anauchovu kwenye sherehe za Uhuru 09/12; 3) Meli ya MV Tanzania haina nahodha hivyo inajiendea yenyewe na hakuna anayejuwa inakoelekea, ndiyo sababu jamaa kila siku yuko nje ili ikizama yeye hatakuwemo.

Anyway, inawezekena ameshuliwa na Dr. wake apate mapumziko West Indies ili kumsaidia tatizo lake halafu sisi tunalalama tu hapa!!!
 
Nilisema hii ni blunder nikaambiwa nina visasi na SALVA RWEYEMAMU

haya kimeishia wapi

hii picha itatumika kumkandia JK na wapinzania wake mpaka anaondoka...

INAUDHI SANA HII
 
nadhani JK atajuta kwanini alipanda lile bembea!!(infact watu tunakuza tu mambo, lile sio bembea jamani, its just like a crane)

Yaani acha tu hata mimi nashangaa hii reaction imezidi kiwango duh hata imefikia watu wanashauri kuwa ange -delegate kubembea kwa waziri wa utalii





We do not to see things as they are: we see things as we are

NANYI MTAIFAHAMU HIYO KWELI NA HIYO KWELI ITAWAWEKA HURU
 
Nilikuwa nasoma The Gleaner hapa walivyompamba Kikwete, halafu ona chini comments za Wa-Jamaica eti wanamtaka Kikwete awafundishe uongozi bora viongozi wao, nikaona talk about kuomba jamvi msibani.

Ukishangaaya Musa utaona ya firauni, ukiona kwako kunaungua kwa mwenzio kunateketea.

Ona hapa http://www.jamaica-gleaner.com/gleaner/20091117/lead/lead3.html

Katovuti kamemremba Kiongozi wetu bora wa nchi mwee! He hali hii kumbe tz ni mfano wa kuigwa wa utawala bora, mama mia!!!!
 
Wakati nchi ina matatizo kibao ya kijamii, kisiasa na kiuchumi, mheshimiwa presidaa yeye anaendelea na Fiesta huko Jamaica.

Ni afadhali angebaki nchini na kukaa na wananchi kuwasaidia kutatua matatizo yao ya msingi kama vile swine flu inayozidi kutafuna Taifa, lugha mbovu za kukera (sofia Simba), Vitambulisho vya mzanzibari mkaazi, mishahara ya walimu, ajali za barabarani, ufisadi, kuelimisha wananchi (kwa tamko) kuhusu kilimo kwanza na nini wakulima wafanye na wategemee, ongezeko la vijana wasio na ajira, matumizi ya madawa ya kulevya, ukosefu wa maadili ya kazi (watendaji wa Hospitali - Mwananyamala na taasisi nyingine), TRL, ATC n.k.

Hivi Rais kukaa kwenye crane iliyo Jamaica na kuangalia vivutio vya Jamaica anausaidia uchumi wa Tz kweli? Hapo si ana promote Jamaican tourism?

Tusubiri tuone watasemaje kuhalalisha kituko kile.
 
Eeeh bwana eeh, tatizo picha hiyo inakuwa intepreted na watu bongo kwamba besides ya hali ngumu ya maisha nyumbani rais wetu ankula good time but in reality haya ni mambo ya kawaida tu ya park za wenzetu kama hapa durban beach yapo mengi hayo for leisure na rais wetu kama mgeni akikaribishwa na wenyeji, sidhani italeta picha nzuri akikata kupanda provided secirity concers zimekuwa cleared na wapambe! But sometimes i think it needed a very fast concious thought decision of him or advisors on decidng to board the merry rider crane and about what negative implications of the photos to be taken, itakavyokuwa interpreted by people if it reaches our newspapers back home. Hiyo starehe kawaida huku, kila mtu anaruhusiwa kuride!
 
lakini all in all jamani hayo madude mbona yapo sana kule scandinavian countries, south africa kwenye machimbo etc, pale jamaa sio kama alikua anabembea, ila alikua anatumia ile crane kupita kwa juu kuangalia vivutio vya utalii, na hii hua inakua kwenye programu na hata yeye anaambiwa kabla sio anakurupuka, which means hata maofisa usalama walishakagua na kuona hakuna hatari yoyote.
mbona sisi huwa tunakaribisha wageni kwa ngoma pale JKN Airport??, inamaana na wananchi wao huko waseme viongozi wao wanakuja kupoteza muda kushangaa ngoma??, utamaduni unatofautiana kati ya nchi na nchi, sioni ubaya wa JK kula gud tyme

Pale haonekani kuangalia kitu chochote, zaidi ya kutabasamu tu, angekuwa anatalii tungemwona anakodoa macho huku na huko!!
 
Eeeh bwana eeh, tatizo picha hiyo inakuwa intepreted na watu bongo kwamba besides ya hali ngumu ya maisha nyumbani rais wetu ankula good time but in reality haya ni mambo ya kawaida tu ya park za wenzetu kama hapa durban beach yapo mengi hayo for leisure na rais wetu kama mgeni akikaribishwa na wenyeji, sidhani italeta picha nzuri akikata kupanda provided secirity concers zimekuwa cleared na wapambe! But sometimes i think it needed a very fast concious thought decision of him or advisors on decidng to board the merry rider crane and about what negative implications of the photos to be taken, itakavyokuwa interpreted by people if it reaches our newspapers back home. Hiyo starehe kawaida huku, kila mtu anaruhusiwa kuride!

ukichakuwa rais ..hutakiwi kuangalia kama kitu ni kawaida au la kwa mwenyeji wako.....basi akienda kwa mswati amuige??? rais ni cheo kikubwa sana....na ni taasisi...sio unaambiwa upande tu unapanda ...ukiwa rais lazima ushinde tamaa zako,,....mimi naweza kuhatarisha maisha yangu nitakavyo.....wanaonitegemea hawazini 1,000 lakini mtu aliyebeba dhamana ya watu milioni 40 anatakiwa awe serious!!!

kuna aliyeongelea bush kupiga picha na warembo ....mimi sioni kama hilo limehatarisha maisha yake zaidi ya kuonekana ame socialize....ukizingatia ule ni utamaduni wao.....!!
 
I think we are making a big deal out of nothing. Raisi nae ana haki ya kurelax once in a while. Besides lile crane ni la kitalii ili mtu atoke point A mpaka B huku anaona kila kitu. So sijaona ubaya wa raisi kufanya hivyo. Kama uliangalia Olympics za mwaka wa jana kulikua na picha nyingi tu za Bush aki burudika ukijumlisha na picha moja aliyo piga anamshika mgongo mchezaji volleyball wa Marekani aliye vaa bikino tu.

Kuhusu usalama tusi lalamike kabla hatuja jua ni measures gani zili chukuliwa kabla raisi na mama raisi hawaja pandishwa juu. Kwani tuna uhakika usalama hawaku asses security risks before the 1st couple went up there? Let us give them the benefit of the doubt na tuwe na details zote kala ya kulalamika.

umenena sina la kuongeza!
 
I think we are making a big deal out of nothing. Raisi nae ana haki ya kurelax once in a while. Besides lile crane ni la kitalii ili mtu atoke point A mpaka B huku anaona kila kitu. So sijaona ubaya wa raisi kufanya hivyo. Kama uliangalia Olympics za mwaka wa jana kulikua na picha nyingi tu za Bush aki burudika ukijumlisha na picha moja aliyo piga anamshika mgongo mchezaji volleyball wa Marekani aliye vaa bikino tu.

Kuhusu usalama tusi lalamike kabla hatuja jua ni measures gani zili chukuliwa kabla raisi na mama raisi hawaja pandishwa juu. Kwani tuna uhakika usalama hawaku asses security risks before the 1st couple went up there? Let us give them the benefit of the doubt na tuwe na details zote kala ya kulalamika.

Yu are spot on mkuu. Some people are fond of crreating mountains out of antihills! Nina uhakuka kabla hawajapanda lile crane kila kitu kiliangaliwa kwa umakini. Hata kama hapa kwetu kuna bembea haina maana Rais hasipande nyingine ya Jamaica ambayo uenda ni tofauti kidogo. Katika hali ya kawaida hata sisi tunatoka nyumbani na kuacha chakula tele kwenda kula nyama choma nje! Wacha Rais na mke wake wajitanue kidogo jamani.
 
Nilikuwa nasoma The Gleaner hapa walivyompamba Kikwete, halafu ona chini comments za Wa-Jamaica eti wanamtaka Kikwete awafundishe uongozi bora viongozi wao, nikaona talk about kuomba jamvi msibani.

Ukishangaaya Musa utaona ya firauni, ukiona kwako kunaungua kwa mwenzio kunateketea.

Ona hapa http://www.jamaica-gleaner.com/gleaner/20091117/lead/lead3.html

Kifupi JK ni mzuri sana kwa siasa za nje na atasifiwa sana. lakini kwa siasa na uongozi wa ndani bado hajatosha anahitaji aongeze bidii sana.
 
Kifupi JK ni mzuri sana kwa siasa za nje na atasifiwa sana. lakini kwa siasa na uongozi wa ndani bado hajatosha anahitaji aongeze bidii sana.


uzoefu wa miaka 10 foregn ulimsaidia kuwa mzuri kwenye siasa za kuuza sura[siasa za nje].....nafikiri mkapa angempaga miaka 5 kama waziri wa mambo ya ndani na miaka 5 kama waziri wa nje[ukichanganya na uzoefu wa ile wizara aliyoitumia kuileta IPTL aka nishati na fedha ] jk angekuwa rais mzuri ....it could be proper grouming.....
 
Ndio matatizo ya information age. Watu wenye uwezo mdogo wa kutafsiri mambo ya dunia na wenyewe wanaona picha na kuanza kujifanya ni wachambuzi.

Hiyo crane marais kibao wamepanda na ni sehemu ya kivutio cha utalii kwa hao Jamaica.

Tusilifanye jambo dogo lionekane kubwa shauri ya ushamba wetu wa kushangaa shangaa ya dunia.

Nyie mnapowapeleka marais kuona wanawake wanakata viuno kwenye ngoma na wengine si wataandika rais alienda kuangalia viuno?

Tuache kuonyesha ushamba wetu waziwazi kwa mambo ambayo hatuna ujuzi nayo.
 
jamani!! Watu wa usalama wanalaumiwa bure tu, inawezekana walimshauri rais asipande bembea lakini akakaidi na kupanda kama hapo siku za nyuma jk aliwahi kutuambia alikaidi kufata ushauri wa madaktari wake, seuze hawa watu wa usalama?
 
Tutaona mengi sana tumpeni muda tu. Anajua anafanya kitu kitokacho moyoni ikiwa ni pamoja na kusupp. michezo ya utotoni. /interesting eeeh?
 
Halafu ukisikiliza speech yake pale alipokuwa analetewa maji na msaidizi wake , akamwambia 'subiri', naye msaidizi akachukua glasi ya maji na kikwete 'akamuongezea toka hapo' usikae mbele... haya aliyasema kwa kiswahili wakati maicrophone ikimchukua live na yeye akiendelea na hotuba yake... sijui kama wabunge wa Jamaika walimuelewa kwa kuchanganya lugha AU walimshangaa kwa kumfundisha msaidizi wake protokali wakati wa shughuli yenyewe.. inavyooneka wasaidizi wake protocal wahazijui na yeye bila kuwaonea haya, anawapa live 'toka hapa', ngoja, 'subiri', usikae mbele..

hebu msikilizeni hapa

[ame]http://www.ustream.tv/recorded/2641002[/ame]

Asanteni
 
Back
Top Bottom