Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 256
- Thread starter
- #21
Huyu mleta uzi huu ni msokile wa huko huko anakotoka Mwandosya hivyo sintaona ajabu kama vita vyao vya kisiasa anavileta hapa kwa kutaka kumpakazia mbaya wake; vita piganeni huko huko kwenu msitake kutuingiza na sisi havituhusu!! Nyie wengine ndio mliokuwa mnamzushia kifo alipokuwa huko India na nyie tena ndio hao hao mnaospin taarifa hizi; mshindwe na mlegee!
Pole mkuu kama imekuumiza lakini, sijawai, sitaweza kumuzushia wala kumwombea mtu kifo. Karibu tujadili hoja ambayo source yake ni REDIO one mimi nimewashrikisha tu kama wachambuzi makini jikite kwenye hoja. Ugomvi au urafiki wangu na Prof haufuti hoja hiyo.
Nini maoni yako juu ya kali ya Prof,