Mh Pinda busy na Mpanda yake

Mjenda Chilo

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
1,467
513
Wadau mi nauliza tu, kila siku nikisoma news nakutana na Mh. Pinda mara anazindua barabara mpanda, juzi kati ya mikoa yote mipya iliyoanzishwa ni mkoa wa Katavi pekee uliopatiwa fungu, CRDB walipofungua tawi ikageuka kuwa hafla ya kitaifa badala ya kibiashara, Kuna mashamba flani hivi na uwekezaji flani siukumbuki vizuri, nimeona wanajenga uwanja wa ndege wa kutua boeng na unakamilika kabla ya 2013. Nikiangalia hata kama Rukwa ni mkoa uliokua umeachwa nyuma mwenzetu kasi yake mhh, Sasa kila kila kitu kikienda Rukwa, lindi, singida na kwingineko ambao hawana mawaziri wakuu itakuwaje? hii precedent inayosetiwa mi naiona haijatulia, upendeleo wa dhahiri sana mtoto wa mkulima.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Dr. Slaa alipotua kule miezi michache alimshtaki kwa wananchi wake kwamba Pinda amejisahau kwa kutembelea magari ya kifahari na kutowakumbuka wapiga kura wake na kero nyingi tu, sasa ameamua kufanya kweli lakini ssa mnamgeuka tena?
 
[h=1]Tanzania: Development or Detriment?[/h] Nourishing the Planet Africa, Agriculture, Development, Farmers, Land, organic

By Jenny Beth Dyess
Rukwa is a beautiful region in western Tanzania that has seen many people come and go. Over the years it has housed refugees from the Democratic Republic of the Congo, Rwanda, and Burundi. But for many of the 162,000 people who now live there and will be displaced over the next ten years to make way for the AgriSol Energy project, the area is simply home.
Tanzania.jpg
A 2010 analysis by the World Bank shows large-scale agribusiness investments rarely have any beneficial effects on the local community. (Photo credit: Jenny Beth Dyess)

Bruce Rastetter, owner of the Iowa-based company AgriSol Energy, is moving forward on a project to build an 800,000 acre farm in Rukwa. Using modern, large-scale farming techniques Rastetter plans on planting corn and soybeans on part of the land in 2012.
AgriSol Energy will sign a 99-year lease with the government of Tanzania for possession of the farmland, an area slightly smaller than the state of Rhode Island, and will own all of the crops produced. AgriSol Energy says its farm will create jobs and will help with food shortages by selling crops locally in Tanzania.
But local people are skeptical of Rastetter's plan. In a recent article by the Guardian, residents of nearby villages claim they were never consulted or even informed about the massive land deal in their backyards. Agricultural extension officer Moshi Muzanye said if the government had consulted him he would have advised reserving it for locals, who could use the space to ease pressure on crowded village land.
Jumanne Maghembe, Tanzanian Minister for Agriculture, Food Security and Cooperatives, defends Rastetter's project in the Des Moines Register saying he believes this project will supplement local food production and help feed the country. AgriSol Energy asserts that their presence in western Tanzania is to help satisfy the demand for food in Tanzania and to train Tanzanian farmers by teaching them modern agricultural techniques.
Iowa State University (ISU) intended on partnering with Rastetter to conduct the small-farmer training program. But a recent report Dan Rather found that ISU pulled out of the project that they would have an advisory role only. Dr. Dennis Keeney, Professor Emeritus of Agronomy and Agriculture and Biosystems Engineering at ISU was appalled when he first became aware of Rastetter's project at how dehumanizing the corporate world can be. He is concerned but doubts ISUs withdrawal will make much difference to Rastetter's program since he doesn't believe Rastetter took "training" seriously anyway.
Anuradha Mittal, executive director of the Oakland Institute and a contributing author to State of the World 2011: Innovations that Nourish the Planet, is also skeptical of Rastetter's project. After conducting a study into Rastetter's plan she labels it a "land grab," an exploitive land transaction by a foreign government or private investor for the purpose of agricultural production and export. Mittal also is concerned about demands in AgriSol Energy's proposal to Tanzania requiring permission to cultivate GMOs and guaranteed access to export markets.
A 2010 analysis by the World Bank shows large-scale agribusiness investments rarely have any beneficial effects on the local community. AgriSol's project will likely displace thousands of people from their homes and farms and while some will be employed as laborers, most of the managerial positions will probably be given to foreigners.
The government of Tanzania is moving forward with the project despite local outcry. John Julius, Director of Tanzanian NGO ROSDO, says allocating Rastetter such a large tract of land is a disgrace to the government of Tanzania. Julius draws attention to the deeper problem in Tanzania-an inability for most to afford the food that is grown. The problem in Tanzania is not a food shortage, but because of poor infrastructure and little support for farmers people are often too poor to purchase the food that is available.
Bashiru Ali, a senior lecturer at the University of Dar es Salaam, is also concerned about the effects on the local community. In The Citizen, a Tanzanian newspaper, he says, "We need to look into our land laws and strengthen them so that they adequately protect the rights of indigenous Tanzanians."
After signing the agreement Tanzania will have little power to protect local rights; already hard-pressed locals fear their children will not have land to farm in the future. Mr Ahmed Simba, a Kigoma-based peasant, complains in the article in The Citizen that the government is allocating tracts of land to foreign investors while refusing the same land to local groups, "I'm afraid we will end up being cheap laborers in such plantations, why does the government prefer foreign investors to local ones?"
Ultimately, the decision to accept Rastetter's proposal is in the hands of the Tanzanian government. Maghembe stated, "we want to make it well-known to the world that the decisions in relation to the people investing in Tanzania are made by us."
What do you think will be the environmental, social, and economic impacts of Rastetter's proposal? How can we find a way to respect private rights without allowing a trampling of human rights for thousands? Join the conversation and tell us what you think in the comments section!
Jenny Beth Dyess is a Research Intern with the Nourishing the Planet Project.
 
Yes we invite foreign investors in agriculture,all the same 800,000 hecters is too much for a single investor!!
 
Wadau mi nauliza tu, kila siku nikisoma news nakutana na Mh. Pinda mara anazindua barabara mpanda, juzi kati ya mikoa yote mipya iliyoanzishwa ni mkoa wa Katavi pekee uliopatiwa fungu, CRDB walipofungua tawi ikageuka kuwa hafla ya kitaifa badala ya kibiashara, Kuna mashamba flani hivi na uwekezaji flani siukumbuki vizuri, nimeona wanajenga uwanja wa ndege wa kutua boeng na unakamilika kabla ya 2013. Nikiangalia hata kama Rukwa ni mkoa uliokua umeachwa nyuma mwenzetu kasi yake mhh, Sasa kila kila kitu kikienda Rukwa, lindi, singida na kwingineko ambao hawana mawaziri wakuu itakuwaje? hii precedent inayosetiwa mi naiona haijatulia, upendeleo wa dhahiri sana mtoto wa mkulima.

.....Labda ndio sababu hajatia hata neno angalau kutoa pole kwa waathirika wa mafuriko Dar kwa sababu yeye hatoki Dar. Hii ya ukimya wa Pinda katika maafa haya ya mafuriko mimi imenishangaza sana.
 
mwanzoni alijaribu kuwa mzalendo mpaka akawa anatoa machozi bungeni ila ameona wote waliomzunguka ni wachumia tumbo. sasa mnataka afanyeje jamani?? ameshaona baada ya 2015 atakuwa hana chake, Chukua Chako Mapema (CCM).
 
Wadau mi nauliza tu, kila siku nikisoma news nakutana na Mh. Pinda mara anazindua barabara mpanda, juzi kati ya mikoa yote mipya iliyoanzishwa ni mkoa wa Katavi pekee uliopatiwa fungu, CRDB walipofungua tawi ikageuka kuwa hafla ya kitaifa badala ya kibiashara, Kuna mashamba flani hivi na uwekezaji flani siukumbuki vizuri, nimeona wanajenga uwanja wa ndege wa kutua boeng na unakamilika kabla ya 2013. Nikiangalia hata kama Rukwa ni mkoa uliokua umeachwa nyuma mwenzetu kasi yake mhh, Sasa kila kila kitu kikienda Rukwa, lindi, singida na kwingineko ambao hawana mawaziri wakuu itakuwaje? hii precedent inayosetiwa mi naiona haijatulia, upendeleo wa dhahiri sana mtoto wa mkulima.

Anafanya aliyofanya MSUYA
 
Tanzania: Development or Detriment?

Nourishing the Planet Africa, Agriculture, Development, Farmers, Land, organic
By Jenny Beth Dyess
Rukwa is a beautiful region in western Tanzania that has seen many people come and go. Over the years it has housed refugees from the Democratic Republic of the Congo, Rwanda, and Burundi. But for many of the 162,000 people who now live there and will be displaced over the next ten years to make way for the AgriSol Energy project, the area is simply home.
Tanzania.jpg
A 2010 analysis by the World Bank shows large-scale agribusiness investments rarely have any beneficial effects on the local community. (Photo credit: Jenny Beth Dyess)

Bruce Rastetter, owner of the Iowa-based company AgriSol Energy, is moving forward on a project to build an 800,000 acre farm in Rukwa. Using modern, large-scale farming techniques Rastetter plans on planting corn and soybeans on part of the land in 2012.
AgriSol Energy will sign a 99-year lease with the government of Tanzania for possession of the farmland, an area slightly smaller than the state of Rhode Island, and will own all of the crops produced. AgriSol Energy says its farm will create jobs and will help with food shortages by selling crops locally in Tanzania.
But local people are skeptical of Rastetter's plan. In a recent article by the Guardian, residents of nearby villages claim they were never consulted or even informed about the massive land deal in their backyards. Agricultural extension officer Moshi Muzanye said if the government had consulted him he would have advised reserving it for locals, who could use the space to ease pressure on crowded village land.
Jumanne Maghembe, Tanzanian Minister for Agriculture, Food Security and Cooperatives, defends Rastetter's project in the Des Moines Register saying he believes this project will supplement local food production and help feed the country. AgriSol Energy asserts that their presence in western Tanzania is to help satisfy the demand for food in Tanzania and to train Tanzanian farmers by teaching them modern agricultural techniques.
Iowa State University (ISU) intended on partnering with Rastetter to conduct the small-farmer training program. But a recent report Dan Rather found that ISU pulled out of the project that they would have an advisory role only. Dr. Dennis Keeney, Professor Emeritus of Agronomy and Agriculture and Biosystems Engineering at ISU was appalled when he first became aware of Rastetter's project at how dehumanizing the corporate world can be. He is concerned but doubts ISUs withdrawal will make much difference to Rastetter's program since he doesn't believe Rastetter took "training" seriously anyway.
Anuradha Mittal, executive director of the Oakland Institute and a contributing author to State of the World 2011: Innovations that Nourish the Planet, is also skeptical of Rastetter's project. After conducting a study into Rastetter's plan she labels it a "land grab," an exploitive land transaction by a foreign government or private investor for the purpose of agricultural production and export. Mittal also is concerned about demands in AgriSol Energy's proposal to Tanzania requiring permission to cultivate GMOs and guaranteed access to export markets.
A 2010 analysis by the World Bank shows large-scale agribusiness investments rarely have any beneficial effects on the local community. AgriSol's project will likely displace thousands of people from their homes and farms and while some will be employed as laborers, most of the managerial positions will probably be given to foreigners.
The government of Tanzania is moving forward with the project despite local outcry. John Julius, Director of Tanzanian NGO ROSDO, says allocating Rastetter such a large tract of land is a disgrace to the government of Tanzania. Julius draws attention to the deeper problem in Tanzania-an inability for most to afford the food that is grown. The problem in Tanzania is not a food shortage, but because of poor infrastructure and little support for farmers people are often too poor to purchase the food that is available.
Bashiru Ali, a senior lecturer at the University of Dar es Salaam, is also concerned about the effects on the local community. In The Citizen, a Tanzanian newspaper, he says, "We need to look into our land laws and strengthen them so that they adequately protect the rights of indigenous Tanzanians."
After signing the agreement Tanzania will have little power to protect local rights; already hard-pressed locals fear their children will not have land to farm in the future. Mr Ahmed Simba, a Kigoma-based peasant, complains in the article in The Citizen that the government is allocating tracts of land to foreign investors while refusing the same land to local groups, "I'm afraid we will end up being cheap laborers in such plantations, why does the government prefer foreign investors to local ones?"
Ultimately, the decision to accept Rastetter's proposal is in the hands of the Tanzanian government. Maghembe stated, "we want to make it well-known to the world that the decisions in relation to the people investing in Tanzania are made by us."
What do you think will be the environmental, social, and economic impacts of Rastetter's proposal? How can we find a way to respect private rights without allowing a trampling of human rights for thousands? Join the conversation and tell us what you think in the comments section!
Jenny Beth Dyess is a Research Intern with the Nourishing the Planet Project.


Mkuu huu mradi ni Tishio. Niliwahi kusikia Pinda Bungeni akipigia debe GMO. Hawa jamaa wa Agrisol wanatumia mbegu (hasa mahandi) ambazo kinachozalishwa hakifai kwa matumizi ya binadamu isipokuwa Fuel. Wanatumia mitambo ya kisasa ambapo kiasi kwamba hawawezi kuajiri watu miambili hata walime mahekalu elfu. Lengo lao sio kuzalisha chakula na watafanya hivyo.
 
Yes we invite foreign investors in agriculture,all the same 800,000 hecters is too much for a single investor!!

Sina shaka hata kidogo kuwa historia ya ncih hii itatoa hukumu kwa Pinda. 800,000 acres for 99 YEARS! Kama sio kurudisha nchi kwenye zama za ukoloni ni nini? Hapo tunasheherekea miaka 50 ya uhuru! upi? Kwa nini isiwe miaka 33 au hata 50 basi kama wanataka long-term commitment? Unampa mgeni ardhi kubwa kiasi hiki kwa miaka 99? Na kila acre wanalipa sh 200!
 
Namuunga mkono sana Pinda kwa juhudi zake, atleast sasa mkoa wa Rukwa na baadae eneo zima la ziwa Tanganyika baada ya miaka 50 ya uhuru linakuwa sasa sehemu ya Tanzania, hili eneo lilisahaulika sana, na nani ajuaye kama Pinda akimaliza ungwe yake eneo hilo halitasahaulika tena?go Pinda go...
 
mlizoea kila kitu kilimanjaro na arusha sijui mwanza. sasa zamu ya mikoa iliyosahaulika. pinda hafanyi kwa manufaa yake binafsi kuna wananchi kibao huko wataneemeka
 
mlizoea kila kitu kilimanjaro na arusha sijui mwanza. sasa zamu ya mikoa iliyosahaulika. pinda hafanyi kwa manufaa yake binafsi kuna wananchi kibao huko wataneemeka
Chimunguru,
Unachosahau ni kwamba Kilimanjaro na Arusha wamefanya wenyewe. Hujasikia mahali mzungu kapewa eka laki nane na Waarusha na Wachaga wakiwa manamba tu katika miradi hiyo. Hakuna asiyetaka kuona eneo lolote la Tanzania likiendelea lakini haya si maendeleo hata kidogo. Mzungu atalima, na atauza katika soko la dunia sisi tunabaki watazamaji tukilipwa shilingi 170 kwa eka kwa mwaka. Halafu na huyu atapewa likizo ya kodi isiyopungua miaka 10.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom