Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Wanajf mpaka sasa sijui huwa inakuwa maana serikali yetu inakuwa na matumiza ya hajabu
Hivi wizara ikipangiwa fungu fulani linalibaki uwa linaenda wapi?
Mwaka jana serikali ilitoa bugdet ya Tshs 5,432,075,207 Vote 25 kwa prime minister (see attached)
Je hii mihela yote imeisha?
Je budget mpya huwa zinaonyesha residual amount from previous budget?
Hivi wizara ikipangiwa fungu fulani linalibaki uwa linaenda wapi?
Mwaka jana serikali ilitoa bugdet ya Tshs 5,432,075,207 Vote 25 kwa prime minister (see attached)
Je hii mihela yote imeisha?
Je budget mpya huwa zinaonyesha residual amount from previous budget?