Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Mh Pinda kaja juu, ati kama Polisi wameshindwa kuzuia uvushaji wa sukari kwa magendo kwenda Kenya, Serikali itatumia JWTZ! Siku mbili baadae Makao Makuu Polisi wanadai kuwa Polisi imejipanga kudhibiti uvushaji wa sukari kwenda Kenya.
Hapa ni usanii mtupu, upande wa Serikali na Polisi. Hivi ni kweli mh Pinda hajui kuwa Polisi wetu ni kama vile wameajiriwa partime na serikali? Polisi wetu muda mwingi hufanya kazi zenye maslahi kwao, wawapo Vituoni, Doria, na Mipakani; Kote huko ni kwa maslahi yao kwanza.
Hapa ni usanii mtupu, upande wa Serikali na Polisi. Hivi ni kweli mh Pinda hajui kuwa Polisi wetu ni kama vile wameajiriwa partime na serikali? Polisi wetu muda mwingi hufanya kazi zenye maslahi kwao, wawapo Vituoni, Doria, na Mipakani; Kote huko ni kwa maslahi yao kwanza.