<br />Wewe unaleta habari za uzandiki hapa. Pinda ameshatoa tamko kwamba Jairo kasimamishwa kazi tena, au unafikiri TV unayo wewe tu?
CAG alisema kwamba utaratibu wa kuchangisha fedha za kuwasilisha bajeti ni wa kawaida. Japo hili linashangaza kwani kila Wizara huwa na bajeti ya kuwawezesha kuandaa na kuwakilisha bajeti.
Pinda ni Mwoga mno! Ameshaonja utamu wa Ufisadi anaogopa kumwaga unga.
Yule Mwanamuziki wa Kenya aliyeimba ule wimbo wa JK Kigeugeu, Pinda Kigeugeu, anaitwa nani vile!
CAG alisema kwamba utaratibu wa kuchangisha fedha za kuwasilisha bajeti ni wa kawaida. Japo hili linashangaza kwani kila Wizara huwa na bajeti ya kuwawezesha kuandaa na kuwakilisha bajeti.
Pinda ni Mwoga mno! Ameshaonja utamu wa Ufisadi anaogopa kumwaga unga.
Yule Mwanamuziki wa Kenya aliyeimba ule wimbo wa JK Kigeugeu, Pinda Kigeugeu, anaitwa nani vile!
<br />Itafika wakati tutawashuhudia hawa viongozi wetu wakiwa wanatoa matamko tofauti yanayojikanganya kila siku.<br />
<br />
Baada ya Kumaliza kufuturisha mwezi huu ukiisha sijui ratiba JK inasemaje! Kwa anayempangia ratiba plizzz!!!!
<br />Itafika wakati tutawashuhudia hawa viongozi wetu wakiwa wanatoa matamko tofauti yanayojikanganya kila siku.<br />
<br />
Baada ya Kumaliza kufuturisha mwezi huu ukiisha sijui ratiba JK inasemaje! Kwa anayempangia ratiba plizzz!!!!
<br />Huyu baba wa watu amekuwa demoralised mno amefanywa kama dampo la kutupia uchafu wa serikali na anatolewa kafara mara nyingi na hivyo amepoteza kabisa confidence na anaposhindwa kujibu maswali ni sahihi kabisa. Hapo ajui ni bomu gani tena litamwangukia kutoka kwa mzee wa kutokota!!!!!
Wewe unaleta habari za uzandiki hapa. Pinda ameshatoa tamko kwamba Jairo kasimamishwa kazi tena, au unafikiri TV unayo wewe tu?