Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
<br />CAG alisema kwamba utaratibu wa kuchangisha fedha za kuwasilisha bajeti ni wa kawaida. Japo hili linashangaza kwani kila Wizara huwa na bajeti ya kuwawezesha kuandaa na kuwakilisha bajeti.<br />
Pinda ni Mwoga mno! Ameshaonja utamu wa Ufisadi anaogopa kumwaga unga.<br />
<br />
<b><i><font color="#800000"><font size="3">Yule Mwanamuziki wa Kenya aliyeimba ule wimbo wa JK Kigeugeu, Pinda Kigeugeu, anaitwa nani vile!</font></fqont></i></b>
<br />
jamaa anaitwa JAGUAR, yaani ni kigeugeu, kigeugeu, kigeugeu, kigeugeu, naomba mnipokee hii korasi, haya twende kwa pamoja, kigeugeu, kigeugeu, kigeugeu, kigeugeu, kigeugeu