Mh. Pinda anaposhindwa kujibu maswali mepesi

CAG alisema kwamba utaratibu wa kuchangisha fedha za kuwasilisha bajeti ni wa kawaida. Japo hili linashangaza kwani kila Wizara huwa na bajeti ya kuwawezesha kuandaa na kuwakilisha bajeti.<br />
Pinda ni Mwoga mno! Ameshaonja utamu wa Ufisadi anaogopa kumwaga unga.<br />
<br />
<b><i><font color="#800000"><font size="3">Yule Mwanamuziki wa Kenya aliyeimba ule wimbo wa JK Kigeugeu, Pinda Kigeugeu, anaitwa nani vile!</font></fqont></i></b>
<br />
<br />
jamaa anaitwa JAGUAR, yaani ni kigeugeu, kigeugeu, kigeugeu, kigeugeu, naomba mnipokee hii korasi, haya twende kwa pamoja, kigeugeu, kigeugeu, kigeugeu, kigeugeu, kigeugeu
 
Itafika wakati tutawashuhudia hawa viongozi wetu wakiwa wanatoa matamko tofauti yanayojikanganya kila siku.<br />
<br />
Baada ya Kumaliza kufuturisha mwezi huu ukiisha sijui ratiba JK inasemaje! Kwa anayempangia ratiba plizzz!!!!
<br />
<br />
atashughulikia ubomoaji wa mahakama ya rufaa maana yule mke wake wa kiarabu ndo kanunua pale then wanadanganya kempsky,we subiri nyaraka zitawasilishwa
stay tuned
 
CAG alisema kwamba utaratibu wa kuchangisha fedha za kuwasilisha bajeti ni wa kawaida. Japo hili linashangaza kwani kila Wizara huwa na bajeti ya kuwawezesha kuandaa na kuwakilisha bajeti.<br />
Pinda ni Mwoga mno! Ameshaonja utamu wa Ufisadi anaogopa kumwaga unga.<br />
<br />
<b><i><font color="#800000"><font size="3">Yule Mwanamuziki wa Kenya aliyeimba ule wimbo wa JK Kigeugeu, Pinda Kigeugeu, anaitwa nani vile!</font></font></i></b>
<br />
<br />
 
Tumuonee huruma
hata hivyo kajitahidi kuvumilia
ngoja tusikie hotuba yake ya mwisho kesho kama PM
kachoka na anawayaway tu

Huyu baba wa watu amekuwa demoralised mno amefanywa kama dampo la kutupia uchafu wa serikali na anatolewa kafara mara nyingi na hivyo amepoteza kabisa confidence na anaposhindwa kujibu maswali ni sahihi kabisa. Hapo ajui ni bomu gani tena litamwangukia kutoka kwa mzee wa kutokota!!!!!
 
pinda kaoja tayari pesa za ufisadi hivyo ni lazima ashindwe kujibu maswali, lazima ajichanganye maana ni laana hiyo!!
 
At least mtoto wa Mkulima..! Mkuu wa Kaya asingeweza kabsaaaa..! Lukuvi katoa macho tuu pale. Magamba Taartibuuuu yananyonyoka.
 
<br />
<br />
atashughulikia ubomoaji wa mahakama ya rufaa maana yule mke wake wa kiarabu ndo kanunua pale then wanadanganya kempsky,we subiri nyaraka zitawasilishwa
stay tuned


anaitwa rahma al kharoos ni president wa rgb oil anapesa chafuu, juzi katoa mil.100 ati anamhonga vasco mwitu tetesi zinasema, nilikutana nae juzi kati movinpick very charming lady
 
Me nashangaa, kama ni utaratibu wa kawaida si wangesema tangu mwanzo. Kwa nini wamemtuma CAG, na kupoteza muda kwa jambo ambalo lipo kwenye wa kawaida?

I smell blood, hivi ni vihela vidogo (vijisenti) lakini vitajeruhi watu mda si mrefu. Anyway, vita vya panzi, furaha ya ......
 
Natamani jf ingekuwa ndio bunge, maana inashirikisha wananchi wengi na hoja zinajadiliwa kwa uwazi, hiyo tume ingeomba maoni na ushauri kutoka humu jamvini
<br />
<br />
ww ni kilaza mbaya una2mia masaburi kufikiri...tena cjui umesoma chuo gani kwani chuo kama udsm hakiwezi kutoa m2 kama wewe, jiondoe mwenyewe jamvini...
 
ndo tatizo la kutosoma between lines, suala la msingi hapo ni kiongozi kutokuwa na msimamo, kama umesoma shule walimu wako walipata taabu kukuelimisha na bado hujaelimika kama unaweza ukawa upande wa kiongozi dhaifu wa kufanya maamuzi na kutokuwa na msimamo
<br />
<br />
pinda ni kichwa dogo,,,jiangalie sana hata kama anakosea ni nadra sana as a human being hawez kuw perfct 100%, ukiwekwa ww pale pamoja na ukoo wenu mtatia aibu...na hivi umesoma chuo cha kata...
 
Tanzania bila ccm inawezekana.tutalaumu mpka lini?tuchukueni hatua.
Kwa manufaa ya taifa letu.
 
Me nashangaa, kama ni utaratibu wa kawaida si wangesema tangu mwanzo. Kwa nini wamemtuma CAG, na kupoteza muda kwa jambo ambalo lipo kwenye wa kawaida?

I smell blood, hivi ni vihela vidogo (vijisenti) lakini vitajeruhi watu mda si mrefu. Anyway, vita vya panzi, furaha ya ......

Take five broda.
 
Watendaji wa ofisi ya waziri mkuu waliohudhulia kikao cha bunge la bajeti kwa siku tano walitumia kiasi kisichozidi 120Mil ila watendaji wa wizara ya Nishati na madini walitumia 500Mil kwa muda wa siku mbili hii inawezekana vipi. Ndio hasa msingi wa swali dogo la nyongeza kutoka kwa Mh. Mbowe ambalo kisela PM aliamua kulipotezea na kusema vyote vitachunguzwa na hata pale Mbowe alipotaka kauli ya serikali juu ya "NI utaratibu wa kawaida wa kukusanya pesa kama hizo japo kila waziri huwa anapewa fungu la wizara kama kasima kwa watendaji waliohudhuria bajeti lakini napo akasema kamati itakayoundwa na bunge itachunguza tusubiri. Yaani kauli ya serikali mpaka tusubiri Mh. PM amechoka bora kesho bunge liahirishwe akapumzike ajipange upya.
 
CAG alitakiwa atoe recommendations wala hakutakiwa ampe room LUHANJO ya kui-politicise hiyo report!!! In addition, CAG alitakiwa kuangalia hizo hela zilipokusanywa zilitumikaje(including value for money, isije ikawa ukumbi wa laki nne una invoice ya milioni kumi)? Vile vile huko katika agency za wizara ya Nishati ambako hizo hela zilitoka, je zilitoka katika 'budget vote' ambazo ni sahihi?
Please mkaguzi mwingine yeyote hata mwanafunzi aseme kama kulikuwa na best practices pale, independence of theaudit! Halafu kwa nini walimsimamisha? turejee kwenye sababu ya msingi, hizo porojo na michezo ya kuigiza intutuia aibu hata sisi tulio nje,Halafu Ngereja kaenda rasmi kumpokea na kumkumbatia, kweli tunahitaji busara ktk uongozi, huyu kijana ameshindwa kupima ni wapi anatakiwa awepo na kwa wakati gani? Wrong time, wrong place! nafikiri sasa anakaribia ku-resign!.
 
Itafika wakati tutawashuhudia hawa viongozi wetu wakiwa wanatoa matamko tofauti yanayojikanganya kila siku.

Baada ya Kumaliza kufuturisha mwezi huu ukiisha sijui ratiba JK inasemaje! Kwa anayempangia ratiba plizzz!!!!

Naota Tu

Nadhani Kila siku atakuwa anasali iwe inatokea Misiba Yenye Hadhi yake Kuhudhuria ili angalau Kwa wiki awe anahudhuria Misiba Miwili (Angalabu sio Haba atakuwa Busy!!!)
 
Naota Tu

Nadhani Kila siku atakuwa anasali iwe inatokea Misiba Yenye Hadhi yake Kuhudhuria ili angalau Kwa wiki awe anahudhuria Misiba Miwili (Angalabu sio Haba atakuwa Busy!!!)

Mkuu uko sahihi kabisa !
 
Tamko la kusimamishwa kazi Jairo, ameritoa waziri mkuu bahada ya kuulizwa swali na Mbowe. Je asingeulizwa?
Na kama Jakaya akimruka kuwa hakumtuma itakuwaje?

Waziri mkuu hana mamlaka yeyote labda kwa makatibu tarafa na wajumbe wa nyumba kumikumi wa ccm.
 
Ikitokea hivyo basi nchi itasambaratika kabisa, maana kuna watu humu
wana mawazo ya ajabu sana kuliko hata ya... ah, nimesahau nilitaka kumtaja nani!
masaburi nini

kweli tunapochagua Rais kilaza ndio matokeo yake haya. sasa tufanyeje? tumfukuze kazi :hungry:
kama wewe ndio umegundua sasa hivi itabidi ukapunguze hasira zako MMU sawa mkuu.
 
Back
Top Bottom