Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Mh Waziri Mkuu sasa ameanzisha Tabia ya kukimbia Kila alhamis ya week ili kukwepa Maswali ya papo kwa Papo! Ilikuwa kila week akiulizwa maswali lakini kwa sasa amekuwa kila jumatano anaopa ruhusa ya kusafiri, Kama mnakumbuka toka atoe tamko la liwalo na liwe hadi sasa anaogopa kukaa pale alhamis . Tukumbuke week lilopita alikwenda Zanzibar kutoa mkono wa pole, Alhamis iliyopita alikuwa Morogoro kwenye ufunguzi wa maonesho nane nane . Leo hii nimemsikia mama Makinda akisema Mh liwalo na liwe atamuachia Mh Sitta kwakuwa yeye atasafiri.
Hii inaonesha wazi kuwa waziri Mkuu anaogopa kujibu maswali ya liwalo na liwe. Ila ajue wazi kuwa tabia hii si nzuri na aiache.
Hii inaonesha wazi kuwa waziri Mkuu anaogopa kujibu maswali ya liwalo na liwe. Ila ajue wazi kuwa tabia hii si nzuri na aiache.