Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
- Thread starter
- #61
mtoa maada unamaksudi na najua ulimuelewa Msigwa shida unataka kupotosha kwa watu wenye akili fupi humu na naona kweli wanakusupport utumbo wako huu.
Hoja ilikuwa je ni halali raisi kuchepusha matumizi na kuelekeza sehemu nyingine? unasema hela za sherehe unazipeleka kutengeneza barabara au hata kwenye matibabu, taasisi yako ya uraisi inaruhusiwa kufanya hivyo? kwa uelewa wa kawaida.matumizi ya serikali hubadirishwa bungeni kwa hiyo taasisi mahsusi sio raisi ni bunge, umeshindwa kuelewa nini hapo?
kama unaona sawa basi ili kubana matumizi budget hakuna haja ya kikao cha bunge si akapange raisi? tutakuwa tumeokoa hela nyingi zaidi? hivi kweli huelewi au?
Unanikumbusha enzi za yesu ambapo sheria ya ilikuwa inasema siku ya sabato hurusiwi kufanya chochote. Yesu awauliza je ni vema kufanya jambo jema siku ya sabato? Na mimi nakuuuliza je ni jambo jema kuvunja sheria kwa maslahi ya nchi ama kufuta sheria na kutapanya pesa ya wavuja jasho kwa maslahi ya wapamba mapambo wa uwanja wataifa?.