Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Wakuu mbona mmekomaa na Seru.Kamba kiasi hicho? Basi kama hafai abaki huko na kamba zake! Ma.Kamba naye nina mashaka naye! Siyo mmoja wa wataka misifa huyu? CDM tuna majembe mengi sana hawa wabaki hukohuko, wasije kutubana tukashindwa na kupumua! Oups!!