only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
jana majira ya saa nne kuelekea saa tano,kituo cha habari cha chanel ten kilikuwa na kipindi ambacho kilinisikitisha sana....
Shekhe mmoja alikuwa akizungumzia kuhusu "nguvu ya umma" cha kushangaza kiongozi huyu wa dini alikuwa akisema kulingana na vitabu vyetu vya dini nguvu ya umma kuwang'oa viongozi wabadhirifu ni dhambi,na akawasihi waumini wake wasikubali kuungana na hiyo nguvu ya umma.....naheshimu sana viongozi wangu wa dini awe shekhe,padri,askofu,mchungaji nk..lakini kwa hili naomba kumuomba yule kiongozi aache kutumiwa na hawa wahuni wanao tafuna nchi yetu....napenda kumuuliza huyu kiongozi
Shekhe mmoja alikuwa akizungumzia kuhusu "nguvu ya umma" cha kushangaza kiongozi huyu wa dini alikuwa akisema kulingana na vitabu vyetu vya dini nguvu ya umma kuwang'oa viongozi wabadhirifu ni dhambi,na akawasihi waumini wake wasikubali kuungana na hiyo nguvu ya umma.....naheshimu sana viongozi wangu wa dini awe shekhe,padri,askofu,mchungaji nk..lakini kwa hili naomba kumuomba yule kiongozi aache kutumiwa na hawa wahuni wanao tafuna nchi yetu....napenda kumuuliza huyu kiongozi
- hawa viongozi hanaowatetea walipoingia madarakani kwa kuchakachua matokeo ilikuwa halali?
- hawa viongozi wanapotafuna maliasili za kainchi ketu kwa manufaa yao na watoto wao ni halali?