Watu
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,470
Naomba kuliza
Waziri wa nishati na madini Mh. W ngeleja yuko wapi? Awezekujibu swali hili?
Je mafuta tatizo ni formula tu au kuna jingine?
Kama ni formula? Kilichopunguzwa ni kodi na tozo za serikali kuondolewa ni kwa nini wafanyabiashara wa mafuta walie hasara wakati anayepungukiwa ni serikali?
Je ni kweli kwamba faida ya biashara ya mafuta ilikuwa inatokana na uchakachuaji? Baada ya kodi ya mafuta ya taa kupandishwa na uchakachuaji kufa auto death ndio wafanyabiashara wamerudi kwenye formula na kuona hailipi?
Je bajeti yako ya 13/08 itapita?
Ni hayo tu kwa leo nawakilisha
Waziri wa nishati na madini Mh. W ngeleja yuko wapi? Awezekujibu swali hili?
Je mafuta tatizo ni formula tu au kuna jingine?
Kama ni formula? Kilichopunguzwa ni kodi na tozo za serikali kuondolewa ni kwa nini wafanyabiashara wa mafuta walie hasara wakati anayepungukiwa ni serikali?
Je ni kweli kwamba faida ya biashara ya mafuta ilikuwa inatokana na uchakachuaji? Baada ya kodi ya mafuta ya taa kupandishwa na uchakachuaji kufa auto death ndio wafanyabiashara wamerudi kwenye formula na kuona hailipi?
Je bajeti yako ya 13/08 itapita?
Ni hayo tu kwa leo nawakilisha