ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,327
Kwani Zitto naye alipata first class?
dj mbowe ndio alipata zero fm 6 ie alizungusha
Kwani Zitto naye alipata first class?
Ni kweli anaropoka, ona anavyoiua na CCM pia kwa sababu anaropoka. Huku kuropoka kweli kuna leta maafa
mmeshikwa sehemu nyeti mtulie dawa iingie vizuri waropokaji nyie. Mmejaa matusi hadi kwenye vikwapa
Na kama Chuo hicho hakiwezi kutafsiri nini maana ya alichosema Slaa kwamba nao wanatafsiri kama Kilombero yetu, basi hakina hadhi ya kuendelea kuitwa chuo kikuu au ni kweli Mwigulu alifaulu kwa viwango sahihi vya hapo.
mmeshikwa sehemu nyeti mtulie dawa iingie vizuri waropokaji nyie. Mmejaa matusi hadi kwenye vikwapa
Mbona mnapenda sana kusahau mambo, Yule DC kule Tanga ambapo DC alimwambia mwanasheria wa Halmashauri ana Degree ya Chupi mbona hamkushabikia ashitakiwe na chuo kilichompa huyo mwanasheria degree ya CHUPI?na asipoomba chuo kimshitaki maana huwezi kuchafua image ya chuo chenye heshima kama Udsm halafu ukaachwa hivihivi
Hoja zote dhaifu, kila mpishi mzuri siku moja huunga chumvi nyingi, barabara ndefu haikosi kona, mwanamke mzuri hakosi kasoro...hivi hizi si methali za kiswahili? Kwani Mwigulu akiwa Bogas inatisha nini maana Udsm hiyo hiyo imetoa majembe mengine mnayajua yaliko wala si ya kuuliza...ukweli ni kwamba kwa first class ya Mwigulu...kwa Udsm hiyo ni barabara ndefu haikosi kona jamani...! Weekend nawahi kufuturu mie swaumu kali!
Anayeanguka kwenye majukwaa mlimpeleka India na anaumwa ugonjwa gani?uyu babu slaa kisukari kitakua kishampanda,,,apelekwe india kw amatibabu uyu coz siku hizi anaropoka tu
Safi sana Dr Slaa, umekandia chuo kikuu ambapo ndiyo kuna wafuasi wako.