Mh Mwandosya asifia safari za matibabu India

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,848
2,669
katika tarifa ya habari ITV, Mwandosya kasema kuwa hakuna nchi nyingine katika Afrika ambayo inapeleka idadi kubwa ya wagonjwa bila kujali hali zao za kiuchumi kama Tanzania. Pia kapongeza zoezi hili...! Na kwamba kuna watu wanabeza zoezi hili.

Maoni yangu
Hii ni akili au matope? Msomi mzima unashangaa kwa nini nchi zingine za kiafrika hazipeleki wagonjwa wake India kwa kasi kama Tanzania. Kama nchi hizo zina miundombinu bora ya afya je? kuna ufahari gani kujivunia katika hili? No free lunches. Bila shaka India inafaidika sana na hili zoezi. Kiukweli Muhimbili wasipotolea hili maelezo tutawadharau sana. Pia Kuna haja ya dhahiri ya kuuondoa huu uongozi wa sasa madarakani.
 
Nimemwona ila babu kachoka! Duh, kama ni mkono wa mtu basi mimi na siasa mbalimbali.
 
katika tarifa ya habari ITV, Mwandosya kasema kuwa hakuna nchi nyingine katika Afrika ambayo inapeleka idadi kubwa ya wagonjwa bila kujali hali zao za kiuchumi kama Tanzanlia. Pia kapongeza zoezi hili...! Na kwamba kuna watu wanabeza zoezi hili.

Maoni yangu
Hii ni akili au matope? Msomi mzima unashangaa kwa nini nchi zingine za kiafrika hazipeleki wagonjwa wake India kwa kasi kama Tanzania. Kama nchi hizo zina miundombinu bora ya afya je? kuna ufahari gani kujivunia katika hili? No free lunches. Bila shaka India inafaidika sana na hili zoezi. Kiukweli Muhimbili wasipotolea hili maelezo tutawadharau sana. Pia Kuna haja ya dhahiri ya kuuondoa huu uongozi wa sasa madarakani.
Mwandosya alisema wagonjwa wengi kutoka nchi mbali mbali wanakwenda kutibiwa India lakini ni wa Tanzania tu wanayolipiwa na serikali. Wewe anayomtukana ndio una matope kichwani kwa kutoelewa alichosema
 
katika tarifa ya habari ITV, Mwandosya kasema kuwa hakuna nchi nyingine katika Afrika ambayo inapeleka idadi kubwa ya wagonjwa bila kujali hali zao za kiuchumi kama Tanzania. Pia kapongeza zoezi hili...! Na kwamba kuna watu wanabeza zoezi hili.

Maoni yangu
Hii ni akili au matope? Msomi mzima unashangaa kwa nini nchi zingine za kiafrika hazipeleki wagonjwa wake India kwa kasi kama Tanzania. Kama nchi hizo zina miundombinu bora ya afya je? kuna ufahari gani kujivunia katika hili? No free lunches. Bila shaka India inafaidika sana na hili zoezi. Kiukweli Muhimbili wasipotolea hili maelezo tutawadharau sana. Pia Kuna haja ya dhahiri ya kuuondoa huu uongozi wa sasa madarakani.

hivi umeangalia speech yake yote upate full context au?
 
sasa hata kamawanalipiwa na serikali, hizo hela zinatoka kwenye mifuko ya serikali? Pia mkawalaumu hao media wanaorusha hizi taarifa, ila cha msingi ni kuwa, si jambo la kujivunia hata kidogo kuona viongozi wanajisifia serikali yao kulipa fedha nyingi kwa ajili ya kwenda kutibia wagonjwa nje ya nchi. Si busara hata kidogo
 
hivi umeangalia speech yake yote upate full context au?
tupe full speech tupate full context. Mkuu nimeogopa kuchangia awali kwa sababu ya kuogopa isije ikawa prof. hajasema hayo maneno na kama amesema kama ilivyo kwenye post basi nitatetemeka.
 
Si ndo maana hawataki kuboresha hospitali za hapa Tz 7bu wana pa kukimbilia ila mkumbuke njia tunayo moja ktk kufa tofauti ni atakayetangulia
 
Ndugu mwandosya ombi lako la email ni batili. cha msingi weka hiyo youtube hapa jamvini watu waione na walinganishe na unayoyasema. Na kuna uwezekano ukawa umeshaichakachua hiyo youtube
 
katika tarifa ya habari ITV, Mwandosya kasema kuwa hakuna nchi nyingine katika Afrika ambayo inapeleka idadi kubwa ya wagonjwa bila kujali hali zao za kiuchumi kama Tanzania. Pia kapongeza zoezi hili...! Na kwamba kuna watu wanabeza zoezi hili.

Maoni yangu
Hii ni akili au matope? Msomi mzima unashangaa kwa nini nchi zingine za kiafrika hazipeleki wagonjwa wake India kwa kasi kama Tanzania. Kama nchi hizo zina miundombinu bora ya afya je? kuna ufahari gani kujivunia katika hili? No free lunches. Bila shaka India inafaidika sana na hili zoezi. Kiukweli Muhimbili wasipotolea hili maelezo tutawadharau sana. Pia Kuna haja ya dhahiri ya kuuondoa huu uongozi wa sasa madarakani.
Nachelea kuanza kumponda Prof. kwa sababu sijaisikia hiyo speech yake lakini kama ni kweli kasema hivyo basi nchi hii tuna tatizo kubwa katika uongozi wetu. Ningetegemea kiongozi kama yeye kukerwa na kupeleka watu nje kutibiwa na kuhoji India wanaweza nini ambacho sisi hatuwezi. Je ni ukosefu wa wataalam nchini? NO na hata kama ni YES angekuja na suggestion ya kupeleka Madactari wetu India kujifunza ili warudi TZ na tuachane na hiyo biashara. Ama kama tatizo ni vitendea kazi alitakiwa aje na data kuwa ile technologia ni expensive kiasi gani ambacho TZ kama nchi haiwezi kununua. Hivi ni zaidi ya Bilioni 111 tunazotakiwa kuwalipa matapeli JK RA na EL? inazidi sh ngapi katika mabilioni yaliyotumika kusherehekea miaka 50 ya UHURU?
Je kulipiwa na serikali ndio sifa ya kujivunia katika umaskini tulionao wakati waTz wanakufa kwa kukosa pesa ndogo sana ya dawa TZ. wanaolipiwa India ni kina nani na kwa magonjwa gani. yaani kwenda kutoboa na kuosha sinus za Zitto Ma ENT surgeons wetu Bongo hawawezi?
Sidhani kama prof anaweza kutoa comments bila kufanya critical review iliyoshiba kutuconvice kusifia serikali kulipia waTz India.
 
Hao ndio maprofesa watanzania walishindwa kufanya kazi zao za usomi na kuganga njaa kwa kujikomba komba kwa viongozi, hivi yeye bila uwaziri hana maisha? hebu muangalieni alivyokondeana na kuzeeka, hana mbele wala nyumba tangu arudi ni kujikomba tu, mara namshukuru JK sasa kama alipelekwa na JK anazungumza nini ya serikali? si mwanzoni alionyesha kwamba alipelekwa na JK ili JK amuamini kwamba akimuachia nchi hatamshitaki. Hawa waliokimbia madarasa na kujikita kwenye ushenzi, hebu angalia hili bonge la failure, kambeba Jackson Midala na kumpga vita mzee wa watu Kaaya, leo DAWASCO shimo la shida, viuno ndio vinavyo manage shirika kubwa kama lile, yule bwana wa kisukuma kabakia kubadilisha suruali za crimplin na hiyo ndio pride ya Mwandosya, anachotaka kuabudiwa kwa kuwa yeye kazoea hilo. Eti anataka kuwa rais wetu hatumtaki rais labda kwa vigezo vilivyompa urais JK lakini 2015 watanzania tumekataa takataka, aende kwanza kutengengeza familia yake atuonyeshe mtoto aliyemlea na kumfanya awe na confidence ya kujitegemea sio watoto wale watatu tegemezi mpaka leo, hatutaki wababa walioshindwa majukumu yao ya ubaba. Aibu sijui mnyakyusa wa wapi huyu na tabia hizi mbaya.
 
Nachelea kuanza kumponda Prof. kwa sababu sijaisikia hiyo speech yake lakini kama ni kweli kasema hivyo basi nchi hii tuna tatizo kubwa katika uongozi wetu. Ningetegemea kiongozi kama yeye kukerwa na kupeleka watu nje kutibiwa na kuhoji India wanaweza nini ambacho sisi hatuwezi. Je ni ukosefu wa wataalam nchini? NO na hata kama ni YES angekuja na suggestion ya kupeleka Madactari wetu India kujifunza ili warudi TZ na tuachane na hiyo biashara. Ama kama tatizo ni vitendea kazi alitakiwa aje na data kuwa ile technologia ni expensive kiasi gani ambacho TZ kama nchi haiwezi kununua. Hivi ni zaidi ya Bilioni 111 tunazotakiwa kuwalipa matapeli JK RA na EL? inazidi sh ngapi katika mabilioni yaliyotumika kusherehekea miaka 50 ya UHURU?
Je kulipiwa na serikali ndio sifa ya kujivunia katika umaskini tulionao wakati waTz wanakufa kwa kukosa pesa ndogo sana ya dawa TZ. wanaolipiwa India ni kina nani na kwa magonjwa gani. yaani kwenda kutoboa na kuosha sinus za Zitto Ma ENT surgeons wetu Bongo hawawezi?
Sidhani kama prof anaweza kutoa comments bila kufanya critical review iliyoshiba kutuconvice kusifia serikali kulipia waTz India.

........well well well......kama ni kweli hayo ni maneno yake.............nafikiria ingekuwaje angekuwa President wetu leo hii.........duuh

na wee kijana wake ebu weka hiyo link hapa JF ili watu tuidadavue.........
 
kinachonishangaza pia ni kitendo cha mwandosya kusifia kitendo cha rais kumjulia hali karibu kila wiki, kitendo ambacho kimemfanya aipende nchi yake. Hivi kuna fungu tofauti nje ya kodi zetu linalotumiwa kufanya matibabu nje ya nchi? Kama serikali inalipia matibabu kwa nini haiumizwi na hizo gharama za kwenda kutibia India?

Ni serikali hii hii inayowapuuza na kuwakandamiza wataalamu wa ndani kwa kutowajengea miundombinu sahihi ya kuonyesha uwezo wao. Dk masau, yule wa taasisi ya moyo ni mmojawapo wa wahanga. Serikali inasema kuwa sekta binafsi ndio inayoendesha taifa sasa, na kwamba serikali inasimamia tu mambo yanavyokwenda. Inakuwaje hii serikali inasisitiza tena kwenda kutibia nje ya nchi na kuwaacha wataalam wa ndani? Tunajua vipi kama dk masau angepewa kipaumbele wangeongezeka wataalamu wa fani zingine kwa kuona wanathaminiwa? Leo hii India inaonekana lulu kwa Tanzania. India wangesema waendekeze kupeleka wagonjwa wao china leo hii wangejivunia kuwa na sekta bora ya afya?

Ndugu E.Mwandosya kama Mwandosya ni baba yako ongea nae na ukampe ushauri huu. Kwa muda aliokaa India kajifunza nini? Amefanya mpango wowote wa kuona kuwa siku akirudi bongo anakuja na hao wataalamu? Au kuna mpango wa kuwapeleka wataalam wetu huko wakajifunze tunachoshindwa? Au alikuwa akisubiri weekly greetings from the president na kusoma mitandao na magazeti kwamba watanzania wanamzungumziaje?
 
Hili ndilo tatizo la viongozi wengi kupitia CCM husifia kila kitu hata kama hakina masilahi kwa taifa na kwa wananchi walio wengi

eg Suala posho za wabunge wanapo simamia hapana mashiko wanajilinganisha na wabunge wa nchi nyigine na siyo wananchi waTANZANIA kweli viongozi hawa ni mzigo sijui tutautua lini
 
Nilivyomuelewa Profesa ni kuwa alikuwa anaisifia serikali ya magamba kuwa ina jali raia wake bila kuangalia madaraja yao kijamii, naona hata yeye mwenyewe profesa haamini alichokuwa anakisema ila anaogopa wabaya wake wasije mmalizia fasta kwani tayari wamesha msulubu kiasi cha kutosha bado kazi kidogo tu wamalize mpango mzima.
 
katika tarifa ya habari ITV, Mwandosya kasema kuwa hakuna nchi nyingine katika Afrika ambayo inapeleka idadi kubwa ya wagonjwa bila kujali hali zao za kiuchumi kama Tanzania. Pia kapongeza zoezi hili...! Na kwamba kuna watu wanabeza zoezi hili.

Maoni yangu
Hii ni akili au matope? Msomi mzima unashangaa kwa nini nchi zingine za kiafrika hazipeleki wagonjwa wake India kwa kasi kama Tanzania. Kama nchi hizo zina miundombinu bora ya afya je? kuna ufahari gani kujivunia katika hili? No free lunches. Bila shaka India inafaidika sana na hili zoezi. Kiukweli Muhimbili wasipotolea hili maelezo tutawadharau sana. Pia Kuna haja ya dhahiri ya kuuondoa huu uongozi wa sasa madarakani.

Amelewa pilipili za INDIA!
Ndio maana alikuwa hataki kurudi!
 
kaka hata mimi jana nilishindwa kuamini nilichokua nikikiona na kukishuhudia kwenye taarifa ile, sijua huyu profesa anazeeka vibaya ama ndo mfumo mbaya wa ELIMU yetu, kwa masikio yangu nilimsikia akisema hayo maneno tena aliyasema hayo kwenye ibada ya shukrani mbele ya maaskofu na mapadre aliowaita nyumbani kwake huko mbeya.

Mimi nadhani huyu mbwana hata uprofesa wake unamashaka nitamwambia yule bwana wa kufatilia maprofesa ma madokta vihiyo anipe profile yake kuanzia aliposoma shule ya chekechea sekondari hadi chuo na pia ninamuomba huyo jamaa aniambie na ikiwezekana aiweke hapa paper yake aliyoandika hadi kuupata uprofesa. Na kama kweli hakuchakachua basi anakaribia kuwa mwendawazimu. Yaani mtu tuliyekua tunamuheshimu na kuamini kuwa ni mpiganaji kama yeye leo anaongea upuuzi kama huo tena publicaly.

Inatia hasira sana.
 
Back
Top Bottom