Serikali inatarajia kutoa ajira zaidi ya elfu nane mwaka wa fedha 2012/13,je serikali imejipanga kuchukua wataalamu wa ndani?na kwanini wataalam wa ndani hawachukuliwi?anaiomba serikari itoe kazi kwa vijana wakitanzania,tena nafasi za juu kufuatia utaalamu walio nao.