Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,747
Hii barabara inaanzia river side kuelekea jeshini. Leo wakati narudi nyumbani nikitembea kwenye barabara hii, nawaona waenda kwa miguu, pikipiki na magari yanavyopita kwa shida wakati ni jirani kabisa na mandela road. Mbunge wetu nasikia unajenga daraja sijui wapi huko ila ukumbuke na hii njia muhimu sana. Pia kuna kale kakipande kanakochepukia muslim sec. Mh ulituomba kura hadharani na faraghani. Tuchongee hii barabara tafadhali. Ina watumiaji wengi sana! Hivyo usiwaache kutaabika. Ni hayo tu kwa sasa