Biz2geza
Senior Member
- Oct 12, 2011
- 117
- 20
Katika maswali ya nyongeza ya mh. Mnyika mbunge wa ubungo kwa waziri wa mambo ya ndani kama ifutavyo
1. Polisi walitakiwa kulipwa kiasi cha sh.150,000 kama posho ya kujikimu lakini wanalipwa 100,000 pungufu.kwaninini?
2. Lini polisi watalipwa malimbikizo ya madai yao?
3. Kwanini polisi wanalipwa 80,000 baadala ya 100,000 kwa ajili ya gwaride la uhuru?
Majibu ya naibu waziri yalikuwa ya kisiasa eti myika alitakiwa afanyeuchunguzi kabla ya kuongea sasababu yanachanganisha askari na serikali.na kwa upande mwingine waziri amekiri kuwa askari wamelipwa pungufu watalifanyia kazi.
Mytake.
Yote aliyosema mnyika yana ukweli na ni askari wamemuomba awafikishie ujumbe wao sababu wamejaribu njia za kawaida zimegonga mwamba.kama hivyo viwango vilitakiwa kulipwa na kilicholipwa vingekuwa uongo mnyika angetakiwa kuzibitisha.
Swali kwa polisi kwanini wakati watetezi wenu wanavyodai haki zenu za msingi mnatumiwa na watu ambao hawatetei kwenye maslai yenu kuwapiga mabomu?
1. Polisi walitakiwa kulipwa kiasi cha sh.150,000 kama posho ya kujikimu lakini wanalipwa 100,000 pungufu.kwaninini?
2. Lini polisi watalipwa malimbikizo ya madai yao?
3. Kwanini polisi wanalipwa 80,000 baadala ya 100,000 kwa ajili ya gwaride la uhuru?
Majibu ya naibu waziri yalikuwa ya kisiasa eti myika alitakiwa afanyeuchunguzi kabla ya kuongea sasababu yanachanganisha askari na serikali.na kwa upande mwingine waziri amekiri kuwa askari wamelipwa pungufu watalifanyia kazi.
Mytake.
Yote aliyosema mnyika yana ukweli na ni askari wamemuomba awafikishie ujumbe wao sababu wamejaribu njia za kawaida zimegonga mwamba.kama hivyo viwango vilitakiwa kulipwa na kilicholipwa vingekuwa uongo mnyika angetakiwa kuzibitisha.
Swali kwa polisi kwanini wakati watetezi wenu wanavyodai haki zenu za msingi mnatumiwa na watu ambao hawatetei kwenye maslai yenu kuwapiga mabomu?