kanga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,025
- 494
Sober hana moral authority kuzungumzia jambo nyeti kama ili la mafao ya kujitoa kwa kutumia akili ya makamasi.Ni vema akatumia angalau 1/25 ya akili yake kama anayo akajaribu kufanya analysis ya Social security katika Tanzania yetu na mstakabali wake.Ulaya na Amerika social security ndiyo yenye mzizi maana watu wasio na ajira rasmi wanapewa ujira kwa wiki na kama fao la kujitoa litazuiwa bila alertnative solution kwa watu waliokuwa wana ajira na baadae wakakosa basi serikali na mifuko hiyo iandae kanuni za kuwalipa.
Muhimu ni kuwa Sheria mara nyingi utekelezaji wake uko kwenye KANUNI.Bunge alitungi kanuni bali kanuni uandaliwa na waziri mwenye dhamana kwa kushirikiana na ofisi ya mwanasheria wa serikali, ndiyo maana kanuni hii ya kuzuia KUJITOA ambayo SSRA inataka kuweka inapingwa na watu wenye akili TIMAMU. NI ujinga na wendawazimu kama kuna mtu ataunga mkono kanuni ya kuzuia kujitoa na kulipwa mafao yako.
Muhimu ni kuwa Sheria mara nyingi utekelezaji wake uko kwenye KANUNI.Bunge alitungi kanuni bali kanuni uandaliwa na waziri mwenye dhamana kwa kushirikiana na ofisi ya mwanasheria wa serikali, ndiyo maana kanuni hii ya kuzuia KUJITOA ambayo SSRA inataka kuweka inapingwa na watu wenye akili TIMAMU. NI ujinga na wendawazimu kama kuna mtu ataunga mkono kanuni ya kuzuia kujitoa na kulipwa mafao yako.
Last edited by a moderator: