Apeleke ushahidi wa plain paper tu, maana huwa hausomwi.
Mh: Kwanza nakufagilia kwa msimamo na uwezo wako. Myika nakushauri kabla ya kuwasilisha ushahidi wa uhusika wa Nchemba kwenye kashfa ya EPA,kwanza mwambie spika aruhusu ushahidi uliowasilishwa na LEMA kuhusu vurugu za Arusha usomwe na ujadiliwe kwanza bungeni.