Wizzo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 723
- 255
hawa waheshimiwa wabunge mh Machali na Mkosamali nawafahamu vizuri toka wakiwa SAUT walikuwa watu matata sana na ndiyo waliofungua matawi cdm chuoni,kinachonishangaza siku hizi Machali amebadilika sana amekua mtu asiye na maamuzi na hana msimamo tena,sijui amekua ccm B?
Poa sana mkosamali endelea na msimamo huohuo najua unajua haki zako na za wananchi sijui kwa sababu umesoma sheria? Embu jaribu kumrudisha kundini Machali
Poa sana mkosamali endelea na msimamo huohuo najua unajua haki zako na za wananchi sijui kwa sababu umesoma sheria? Embu jaribu kumrudisha kundini Machali