Mh. Membe atoa kauli nzito Bungeni kuhusu Malawi!

Tanzania inategemea general international law inayosema kwamba nchi mbili zinazopakana na water body zita-share hiyo body na mpaka utakuwa katikati ya water body husika. Malawi wanajibu wanasema sheria hiyo inatumika kusipokuwa na treaty, hivyo kwa Ziwa Nyasa kwa kuwa kuna hiyo treaty sheria ya kimataifa hai-apply. Sijui Tz tuna argument gani zaidi?
Kama kawaida naona tutakuwa tunaendeleza blah blah zetu wakati haya mambo yanataka ushahidi mzuri kisheria
 
ikiwa mengine yote yakishindwa vita haina budi kutokkea,hapo ni uwezo wa kila jeshi katika kulinda maslai ya nchi husika.

Ni kweli kabisa...I dont think jamaa watataka vita. We will take that country in 5 days. Jamaa wenyewe wote wavaa suti wanaweza kupigana kweli?
 
Kuipiga malawi it will be a cakewalk na sijui hata itachukua wiki.baya zaidi malawi iko imezungukwa na nchi za sadeki ambao ni washirika .watapata kulipa kisasi kwa malawi kuwa kibaraka wa makaburu na wareno huko nyuma
 
Kazi kwa Waziri wa Ulinzi, nawe toa tamko. Kwa nchi kama malawi, sioni haja ya wao kuendelea kunufaika na minofu ya pale kwani wamekuwa wakinufaika kwa muda mrefu sana....Toa tamko Mr Minister. JK nawe acha kucheza na maoni ya Watanzania..tabasamu lote hilo la nini?? huku wakusini wakiishi maisha rehani?...Mtumie salamu dada Joyce chap au hadi afuatwe na M4C ya Tanzania
 
Kutoelewa kwake usihusishe na Pro CDM mkuu,ni yeye kama yeye. Hata hivo mipaka iliyoiwekwa na wakoloni c ndo hiyo inaonyesha ziwa lote lao?kwamba mpaka unapita kwenye shore ya lake Nyasa far east? au nieleweshwe vzuri hapa

Historia ipo wazi wakoloni walivyogawa mipaka kwenye mkutano wa Berlin mwaka 1884 Tanzania na Malawi upande wa Ziwa Nyasa ulikuwa katikati ya ziwa hilo...sasa sijui wewe hiyo umeipata wapi, ngoja nikukumbushe kuna wakati kulikuwa na mgogoro kama huu kati ya Libya na Chad, kulikuwa na eneo lililokuwa na mafuta, Libya ikitaka kulichukuwa kwa nguvu lakini Chad ilikuja kushida kwa sababu eneo lilikuwa lao kwa mujibu wa mipaka ya kikoloni.
 
Ni kweli kabisa...I dont think jamaa watataka vita. We will take that country in 5 days. Jamaa wenyewe wote wavaa suti wanaweza kupigana kweli?

mkuu, never underestimate the power of your enermy. sisi tuwe tayari kwa lolote na kwa namna yoyote maana hatujui ewezo wa malawi kivita na nani atakuwa nyuma yake. hata kimajadiliano tuwe makini pia maana upole wetu usiwe sababu ya kuzidiwa katika majadiliano kama tunavyofanywa katika mikataba mingi.
 
Huko ni mbali sana, Wajifunze kule kwa Ahmed Sambi Ahmed, Rais wa viisiwa vya Comores,,,,,Anzuan, Mayotte, na kule kote alikokorofisha Col. Bubacar, Malawi ni Operesheni Chakaza.
 
mkuu, never underestimate the power of your enermy. sisi tuwe tayari kwa lolote na kwa namna yoyote maana hatujui ewezo wa malawi kivita na nani atakuwa nyuma yake. hata kimajadiliano tuwe makini pia maana upole wetu usiwe sababu ya kuzidiwa katika majadiliano kama tunavyofanywa katika mikataba mingi.

Robo tatu ya wananchi wake wana njaa kali...hawawezi hata siku moja. Kisa nini, wale makomandoo wao wanaowatengeneza Uingereza na Marekani?
 
hivi wewe ni miongoni wa wamalawi waliolowea huku toka enzi za kanyama chiume nini?
Maana post zako ni za kuponda tu.au uko kwenye kampeni hapa ya kuinflitrate and distabilise?

Najua kinachowasumbua nikuonekana na nyie mnaweza kufanya kitu fulani.
 
Vita sio suluhisho. Ni kutumia njia mbadala za kutatua tatizo

Kwanza tatizo hakuna, kungekuwa na tatizo raia wanaotumia hilo ziwa wangekuwa wameishaanza kuhasimiana. Matatizo wanayowanasiasa wa pande zote mbili ambao tayari wote wanakabiliwa na uhasama mkubwa unaopanuka wa wananchi wao dhidi yao.

Kama kweli serikali yetu inania ya kulinda mipaka yetu dhidi ya majirani zetu kwanini hatujasikia wakifoka pale majeshi (without regard kama ni ya serikali ama wahasi wa congo) wanapoteka raia wenzetu kwenye ziwa Tanganyika, au kwa vile uko hakuna dalili za kuwapo mafuta??
 
Robo tatu ya wananchi wake wana njaa kali...hawawezi hata siku moja. Kisa nini, wale makomandoo wao wanaowatengeneza Uingereza na Marekani?

mkuu wanaopigana vita si wananchi ni wanajeshi, naliamini sana jeshi letu kuwa ni bora, angalizo langu ni kusema kuwa tutaipiga kirahisi mno kama wengi wanavyofikiri, cha msingi ni kujiandaa vizuri maana wanajeshi wetu wakienda na wazo hilo wanaweza kupigana kwa dharau na kuweza kufanya makosa.
 
siko tayari mimi binafsi, mke wangu wala watoto wangu si tu kuchangia, bali hata kumtia moyo wala kumshawishi mtu yoyote yule kushiriki vita ya aina yoyote ile dhidi ya Malawi.

Kwa uwoga unaoonyesha jiandae kuwa mkimbizi pamoja na familia yako hadi mgogoro utakapoisha.
 
Wachambuzi wa mambo wanakwambia hiyo ni vita ya urais 2015
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ulinzi, usalama na Mambo ya Nje inatoa maoni yake sasa. Inahangaika zaidi na utendaji wa Membe ingawa haimtaji kwa jina. Imeponda mambo mengi utadhani maoni haya yameandikwa na kambi rasmi ya upinzani!
 
hivi wewe ni miongoni wa wamalawi waliolowea huku toka enzi za kanyama chiume nini?
Maana post zako ni za kuponda tu.au uko kwenye kampeni hapa ya kuinflitrate and distabilise?

Mkuu lakini kwa upande mwingine,ni serikali hii inayotumia vyombo vyake vya ulinzi na usalama dhidi ya wananchi wake...
 
Membe mwana ccm naweka pembeni uchadema wangu kuungana na wewe kwenye hili,Wamalawi wajue wazi wanachezea moto ulioshindwa kuzima na Nduli Idi Amin dada
 
Kwa uwoga unaoonyesha jiandae kuwa mkimbizi pamoja na familia yako hadi mgogoro utakapoisha.

Baba Yangu, Baba Yangu Mdogo, na wajomba na Binadamu zangu walishiriki vita dhidi ya Idi Amini, wawili walipoteza Maisha,
 
Tanzania ndio uwa inanimaliza hapa, iweje unasema utalinda mipaka wakati watu wanaingia? Kama muda wote unalinda mipaka iweje waingie jamani? Dawa ya jirani kung'ang'ania mipaka yetu ilishaonyeshwa mwaka 1978/ 79 ingawaje gharama yake ni kubwa!! Kwani taarifa za mipaka ya nchi zilizoko UN zinasemaje?
 
sasa kwa hali hiyo ya vita miji hii yote si itakaliwa na wabongo? Mzuzu, Chimwemwe, Blantyre, Lilongwe, na hata ile mitaa ya brother ambay sister aliwahi kuishi zamani?
 
Mkuu lakini kwa upande mwingine,ni serikali hii inayotumia vyombo vyake vya usalama dhidi ya wananchi wake...

teh teh teh....wanataka tusahau mambo yao kwa kuanzisha vita na malawi nini? hatudanganyiki!
 
Back
Top Bottom