Ukikosa vikao bila na kuwa na sababu ya nmsingi. Kuugua nadhani ni swababub ya msingi. lakini technically, yeye hajala kiapo, hivyo kuna uwezekano kuwa habanwi na hizo kanuni kwa sabbau hawaja mbunge rasmi
wadau huyu mbunge hata hajaapishwa toka uchaguzi uishe yupo kitandani ni mgonjwa sana hivyo hatuna mwakilishi jimboni kwetu,je selikari inaonaje kama tukifanya uchaguzi mwingine tutafute muwakilishi mwingine? Sumari abaki mbunge wa viti maalum.
Posho anavuta? Maana ni kodi yetu! Sheria za kazi wanasema miezi 3 unakula nusu mshahara baada ya miezi Sita unaachishwa.
wadau huyu mbunge hata hajaapishwa toka uchaguzi uishe yupo kitandani ni mgonjwa sana hivyo hatuna mwakilishi jimboni kwetu,je selikari inaonaje kama tukifanya uchaguzi mwingine tutafute muwakilishi mwingine? Sumari abaki mbunge wa viti maalum.
Kwenye red. Kwani huyo sumari ni wa kike?wadau huyu mbunge hata hajaapishwa toka uchaguzi uishe yupo kitandani ni mgonjwa sana hivyo hatuna mwakilishi jimboni kwetu,je selikari inaonaje kama tukifanya uchaguzi mwingine tutafute muwakilishi mwingine? Sumari abaki mbunge wa viti maalum.
wadau huyu mbunge hata hajaapishwa toka uchaguzi uishe yupo kitandani ni mgonjwa sana hivyo hatuna mwakilishi jimboni kwetu,je selikari inaonaje kama tukifanya uchaguzi mwingine tutafute muwakilishi mwingine? Sumari abaki mbunge wa viti maalum.
wewe nadhani huwa unasoma machache katika vyombo vya habari acha huyu ambaye anasemekana kachaguliwa hajaapishwa tunaywe waziri yupo katika matibabu kabla ya bunge la bajeti mpaka leo hawajathubutu kumuondolea uwaziri na kumuachia ubunge ije iwe huyu jamani watanzania naibu waziri ndiyo anayeongoza wizara
Pasco hapo hapo una potosha Jerry Summary hajaapishwa! Wakati wa kampeni na uchaguzi alikuwa mgonjwa. Tuulize sisi wanajimbo wa Arumeru mashariki. Usiropoke.Wizzo, sio kweli kuwa Mbunge, Mhe. Jerry Solomon, hakuapishwa, siku wabunge wanaapishwa, nilikuwepo Dodoma, nilimshuhudia kwa macho yangu mwenyewe!.
Hili la kuugua, ni ubinadamu.
Nawaombeni wana jf wenzangu, wakati mwingine tuweke utu mbele, thamani ya mtu ni utu, ubinaadamu ndio unatangulia na mengine yote yanafuatia, ndio maana moyoni mwangu, nafsi yangu ilimlilia hata Saadam, Osama na juzijuzi Gadhafi, licha ya yoye waliyoyafanya. Damu ya binadamu ni ile ile kwa wote, nikimaanisha damu ya Ghadafi iliyeuwawa kinyama ni sawa na Damu ya Obama au ya Baba Mtakatifu!. Hivyo nawaombeni sana tusimbeze yoyote kutokana na maradhi/kuugua, tuweke ubinaadamu mbele.
Pasco
Wizzo, sio kweli kuwa Mbunge, Mhe. Jerry Solomon, hakuapishwa, siku wabunge wanaapishwa, nilikuwepo Dodoma, nilimshuhudia kwa macho yangu mwenyewe!.
Hili la kuugua, ni ubinadamu.
Nawaombeni wana jf wenzangu, wakati mwingine tuweke utu mbele, thamani ya mtu ni utu, ubinaadamu ndio unatangulia na mengine yote yanafuatia, ndio maana moyoni mwangu, nafsi yangu ilimlilia hata Saadam, Osama na juzijuzi Gadhafi, licha ya yoye waliyoyafanya. Damu ya binadamu ni ile ile kwa wote, nikimaanisha damu ya Ghadafi iliyeuwawa kinyama ni sawa na Damu ya Obama au ya Baba Mtakatifu!. Hivyo nawaombeni sana tusimbeze yoyote kutokana na maradhi/kuugua, tuweke ubinaadamu mbele.
Pasco
Hivi anaugua kitu gani? Anaulazima gani
wa kuendelea kuwa mbunge wakati hajiwezi wala hawezi kutumikia wananji wa jimbo lake? Analipwa posho kwa kazi gani haswa?kwa nini ccm wamekaa kimya tu,ama anataka kwenda india kwa ngongo wa ccm nini ?lo
Pasco, suala hapa si kuapishwa au kutokuapishwa. Mantiki ni je mbuge huyo anafanya kazi za kibunge kama alivyochaguliwa na wananchi? Sheria zinasema nini juu ya mbunge aliye mgonjwa kwa muda mrefu? Kama sheria imedokeza na watekelezaji wa sheria hawataki kuzitekeleza, basi huko ni kuwanyima wananchi uwakilishi. Lakini kama hakuna kipengele chochote kinachomtaka mbunge ajiuzulu endapo ataugua kwa muda mrefu, basi hayo ni mapungufu yaliyomo katika sheria zetu na hususani katiba. Katiba mpya inaweza kuja, tuwasilishe mapungufu hayo.
Captain, kuapishwa ni Dodoma na sio jimboni Arumeru. Wakati wa kuapishwa tulikaa naye hoteli moja pale Dodoma Hotel na alikuwa na mkewe!. Need I say more?.Pasco hapo hapo una potosha Jerry Summary hajaapishwa! Wakati wa kampeni na uchaguzi alikuwa mgonjwa. Tuulize sisi wanajimbo wa Arumeru mashariki. Usiropoke.
Captain, kuapishwa ni Dodoma na sio jimboni Arumeru. Wakati wa kuapishwa tulikaa naye hoteli moja pale Dodoma Hotel na alikuwa na mkewe!. Need I say more?.
Rejea katiba ya JMT, mbunge ambaye hauaapishwa, sio mbunge kikatiba hivyo within 1807 days bila kuapishwa NEC ingeshalitangaza jimbo la Arumeru vacant!.
Sheria ya sick leave ni miezi 3 with full salary na miezi 3 mingine with half salary baada ya hapo ni discreation ya mwajiri.