Pdiddy,jasusi hata ukumbi pm jamani wekeni wazi ama mnaogopa asilishwe potassium cynide na kile chama chetu cha mauwaji??teeehhh teeehhhh
Mbowe kava kishamba au kikomunisti, hajui kuchagua nguo za kumechisha? angalia mwenzake alivyotulia, yeye kama kaokoteza tu, inasikitisha kwani yeye ilikuwa apige alegance yenyewe.
Bukanga,Jasusi, we don't see any updates up to now..... Kunani@ D. C?
Mmaroroi,Vijijini Chadema inafahamika sana ila inahitaji kutangazwa zaidi.