kwa sasa anawahutubia vijana wanaomaliza masomo yao ya utabibu na uuguzi.
hizo 'mashine' huwa nazitumia kwa watu wa aina yako!endelea kufuatafuata watu usiowafahamu.Kwa ufupi ninaendelea kutafuta info zaidi.Kumbe habari kamili unazo ila mpaka tuwe km tunakutukana ndo unasema ukweli wako......wewe unatakiwa upelekwe kwenye zile mashine(akina lema baada ya kuswekwa kule wanasema zipo na kila siku zinatumika ) za kutesea wafungwa ili aseme ukweli wa jambo fulani....hebu kuwa muwazi bana ili wengine wachangie...la sivyo ungetumia ujumbe wa simu kuwataarifu wanaojua suali zima.......
hizo 'mashine' huwa nazitumia kwa watu wa aina yako!endelea kufuatafuata watu usiowafahamu.Kwa ufupi ninaendelea kutafuta info zaidi.
we unazani ni lazima uchangie MAGAMBA bana!sasa hii nayo ni thread gani..crap
Good move, nimeipenda tupe habari zaidiChanzo changu kinaniambia Mbowe amechangia Tsh milioni 10 na kutoa ahadi ya gari la wagonjwa(ambulance)