Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
- Thread starter
- #21
Wakati wa kupokea kadi za CHADEMA,wameomba radhi kwa vitendo vyao vya fujo na vurugu walivyokuwa wanafanya wakati wa kampeni mwaka jana
kwema kamanda,si unajua watu wengi ni tomaso,ingawa kwenye thread nilitoa ufafanuzi
Kweli Mhindi hadhaminiki kwenye boxing, wenye akili watang'amua.
Hii kichwa haihitaji kuchochea ndiyo ielewe kama baadhi ya member fulani humu ndani. siyo dhambi kuigusa CDM kwenye ukweli lakini bado naamini huwezi kumdhamini Mhindi kwenye box labda biashara.hapo sijaigusa Chadema, umeelewa wewe?
hapo sijaigusa Chadema, umeelewa wewe?
Hii kichwa haihitaji kuchochea ndiyo ielewe kama baadhi ya member fulani humu ndani. siyo dhambi kuigusa CDM kwenye ukweli lakini bado naamini huwezi kumdhamini Mhindi kwenye box labda biashara.
Ni akheri ya siasa hizo kuliko siasa za kuwa mnafiki, mchochezi na mbaya zaidi kuinyima akili kama mlango wa fahamu kufanya kazi yake.We endelea na siasa zako za ndiyo mzee.
Labda alikuwa anafanya reconciliation na Nape, sasa yamekwisha mwendo mdundo.Mwita 25 mbona kuna kipindi ulikuwa kimya?au ulicheleweshewa malipo?
We endelea na siasa zako za ndiyo mzee.
Ni akheri ya siasa hizo kuliko siasa za kuwa mnafiki, mchochezi na mbaya zaidi kuinyima akili kama mlango wa fahamu kufanya kazi yake.
Siyo lazima iwe kwenye thread hii, hiyo nimeichukulia kama general statement tu, anyway back to the topic alichokifanya Mbowe ni kama walichokifanya akina Milya Arusha kuja kufungua matawi na kuhamasisha chama tu.Hivi hapo kuna uchochezi gani niliufanya?
Leo Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA,kamanda Freeman Mbowe,amefanya mkutano wa hadhara jimboni Hai,mkutano mkubwa pamoja na kufungua shina la wakereketwa.Wakati wa ufunguzi wa shina hilo wanachama wa ccm akiwepo Ndugu wa Mwenyekiti wa ccm wilaya ndugu Olomi,amejiunga na CHADEMA,mbali na Olomi aliambatana na wanachama 30 wa ccm.
Pamoja na kujiunga na CHADEMA pia wameomba radhi,kwa fujo walizofanya wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana..
Mapambano yanaendelea
Utumwa wa fikra ni utuma mbaya sana. Hata kitu cha kawaida kinaonekana cha ajabu. Yaani Mbowe kufanya mkutano jimboni kwake ni news? Au huna cha kufanya? Tunakoelekea huko basi hata akienda haja ndogo tutaambiwa. Ajabu ya ndugu wa kiongozi wa CCM kuingia CDM ni nini?
Leo Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA,kamanda Freeman Mbowe,amefanya mkutano wa hadhara jimboni Hai,mkutano mkubwa pamoja na kufungua shina la wakereketwa.Wakati wa ufunguzi wa shina hilo wanachama wa ccm akiwepo Ndugu wa Mwenyekiti wa ccm wilaya ndugu Olomi,amejiunga na CHADEMA,mbali na Olomi aliambatana na wanachama 30 wa ccm.
Pamoja na kujiunga na CHADEMA pia wameomba radhi,kwa fujo walizofanya wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana..
Mapambano yanaendelea
Utumwa wa fikra ni utuma mbaya sana. Hata kitu cha kawaida kinaonekana cha ajabu. Yaani Mbowe kufanya mkutano jimboni kwake ni news? Au huna cha kufanya? Tunakoelekea huko basi hata akienda haja ndogo tutaambiwa. Ajabu ya ndugu wa kiongozi wa CCM kuingia CDM ni nini?