Hiyu dada mbunge siku hizi nimeanza kumuelewa.
Namsikiliza hata hoja zake bungeni zinamashiko na zakizalendo sana. Keep it up dada yangu.
Hiyu dada mbunge siku hizi nimeanza kumuelewa.
Namsikiliza hata hoja zake bungeni zinamashiko na zakizalendo sana. Keep it up dada yangu.
Imagine ni mbunge wa kuteuliwa
Hilo ndo tatizo lako we mzee, ukweli hutaki usemwe hasa kuhusu wapinzani wako na mnapoharibu ndani ya CDM. Kalagabaho na ugulagula wako. Vijana weshaanza kujitambua, itakuwa kwenu cku c nyingiZipo threads nyingi sana za huyu msichana ungeweza kupeleka mtazamo wako huko. Kumwanzishia thread kwa contents za nana hii ni matumizi mabaya ya jamvi. Jirekebishe
Hilo ndo tatizo lako we mzee, ukweli hutaki usemwe hasa kuhusu wapinzani wako na mnapoharibu ndani ya CDM. Kalagabaho na ugulagula wako. Vijana weshaanza kujitambua, itakuwa kwenu cku c nyingi
Hawezi kupata ubunge wa Bunda hata kwa Magleda.
Kwanza ameacha ile tabia ya kusagwa na Mdee na Shyrose?
Huyu dada ameichambua bajeti kisayansi na kisomi, kapitia vipengele na kuainisha mapungufu, kaangalia utekelezaji wa bajeti iliyopita kalinganusha na iliyoombwa!! Huyu dada ni jembe, sijui nani alimuingiza mkenge kuleta vurugu pale Igunga, atakusaidia sana Mh Mbowe katika utekelezaji wa M4C hebu angalia uwezekano wa kumvalisha Gwanda. Kasi yake haiendani na serikali goigoi ya CCM.
Huyu dada ameichambua bajeti kisayansi na kisomi, kapitia vipengele na kuainisha mapungufu, kaangalia utekelezaji wa bajeti iliyopita kalinganusha na iliyoombwa!! Huyu dada ni jembe, sijui nani alimuingiza mkenge kuleta vurugu pale Igunga, atakusaidia sana Mh Mbowe katika utekelezaji wa M4C hebu angalia uwezekano wa kumvalisha Gwanda. Kasi yake haiendani na serikali goigoi ya CCM.
Hilo ndo tatizo lako we mzee, ukweli hutaki usemwe hasa kuhusu wapinzani wako na mnapoharibu ndani ya CDM. Kalagabaho na ugulagula wako. Vijana weshaanza kujitambua, itakuwa kwenu cku c nyingi
Kwa hiyo mbunge wa ccm akifanya vizuri lazima atoke ccm na kujiunga na upinzani siyo? hawezi kufanya vizuri na kuendelea kuwa mbunge wa ccm ili hata wale wasio fanya vizuri nao waweze kufanya vizuri?
Tusidanganyane. Mtu mkweli anafanya nini CCM. Huyu ni mmoja wa walioshitushwa na kukubalika kwa CDM ndani ya siku za karibuni. To cut it short, she is just an opportunist.Mkuu umechelewa sana kumkubali huyu dada. Yuko smart sana na anajua nini anataka. Imagine ni mbunge wa kuteuliwa lakini amekuwa mkweli mara zote. 2015 jimboni kwetu Bunda akigombea mm kama mwana CDM nitampa kura yangu ya ndiyo period