Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
- Thread starter
- #21
Mkuu ukifuatilia wabunge wengi huwa wanakuwa na hoja lakini wanaiongelea kwa juu juu bila substance. Huyu dada alijikita katika kuangalia matumizi yaliyoombwa mwaka huu na kulinganisha na kifungu kule kile kwa mwaka uliopita na utekelezaji wake. Nadhani hapo ndio unapata platform ya kujadili bajeti.Ulukolokwitanga, nina mtazamazo tofauti kabisa na wako. Nimeskiliza huyu dada na sikuona 'substance' yoyote zaidi ya kuongea kwa 'hisia' au niseme usanii. She really needs to seat down na kusoma kidogo ili huko mbeleni awe na kitu/issue ya kuongea. Nadhani unaweza kuwa umevutiwa na style rather than the contents!