Mh. Mbowe aongelea yaliyojiri Ikulu

Ndugu zangu ni rahisi sana kuwalaumu viongozi wa CHADEMA kwa hili, lakini kumbuka kwamba magamba wamefunga kila njia halali za kuipata katiba mpya iliyo halali, Magamba wako tayari kuua kuhakikisha katiba halali haipatikani. Kwa mfano mkitoa tarifa ya kuandamana kudaia katiba halalii, polisi watawaambia UWT na UVccm wametangulia kutoa taarifa ya kundamana tarehe, root, na muda huo huo munaotaka kuandamana hivyo hawataruhusu kuepusha vurugu. Mara watawaambia haiwezekani kwasababu ya tishio la Alshababu! Viongozi wa CHADEMA wakituambia tuandamane kinguvunguvi kwa sababu ni haki yetu kikatiba, ndo hizo kesi za kufikilika zinafunguliwa dhidi yao. Wao Magamba wanaendelea kupeta kuifisadi nchi kwa "kuthubutu kuweza na kuendele." Ninaamini walichokifanya Mbowe na safu yake ni mkakati wa kuwafikilisha ccm kuwa CHADEMA hawachoki kudai haki za Watanzania.
 
Kwani aliyempakata mwenzake hapa ni nani? Kwani ktk ilani ya ccm hawakuwa na mpango wa kubadili katiba ila chadema wamelikomalia wamefanya kuibadili mpaka hapo huoni ccm wamepakatwa kimshazari?

Waliokuwa na sera ya katiba mpya ni CUF toka awali na walishaandika wanayoipendekeza, magwanda wamerukia njiani tu, na kama uonavyo, magwanda hawana jipya, maandamani walianzisha CUF, kususa walianzisha CUF, CUF walisusa kabisa kuingi baraza la wawakilishi na walikuwa hawachukuwi posho wala mishahara. Umesaau, hawa magwanda hawana jipya, na mpaka la kuonana na Rais, CUF walianza na ikawasaidia sana, magwanda nayo hii imewasaidia sana kisiasa. Hawana jipya.
 
Kwani aliyempakata mwenzake hapa ni nani? Kwani ktk ilani ya ccm hawakuwa na mpango wa kubadili katiba ila chadema wamelikomalia wamefanya kuibadili mpaka hapo huoni ccm wamepakatwa kimshazari?

mkuu unajikusuru tu lakini mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio haambiwi sikiliza.
 
Mh. Freeman Mbowe ambae ni mwenyekiti wa chama cha CHADEMA na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Amesema kuwa pamoja na mambo mengi walioishauri serikali hawana mamlaka ya kumzui Rais kutosai muswada uliopo mezani kwake hivi sasa ila walimtaka atumie kifungu cha (97)2 kutokana na mapungufu mengi katika muswada huo! Pia serikali aliwaahidi kuyafanyia mabadiliko na mapendekezo yao kwenye kikao kijacho January 31, Aidha Mh. Mbowe anaweka wazi kuwa wakiyafanyia kazi mapendekezo yao hao wako tayari kushiriki katika utungwaji wa katiba mpya na wakiyapuuza hawana namna tena nikurudi kwa waamuzi wakuu wananchi.

looser!!
 
waliokuwa na sera ya katiba mpya ni cuf toka awali na walishaandika wanayoipendekeza, magwanda wamerukia njiani tu, na kama uonavyo, magwanda hawana jipya, maandamani walianzisha cuf, kususa walianzisha cuf, cuf walisusa kabisa kuingi baraza la wawakilishi na walikuwa hawachukuwi posho wala mishahara. Umesaau, hawa magwanda hawana jipya, na mpaka la kuonana na rais, cuf walianza na ikawasaidia sana, magwanda nayo hii imewasaidia sana kisiasa. Hawana jipya.

ndiyo ile katiba yao wanataka oic?
 
Chadema hawana la kufanya kwa sasa inawabidi kuwa wapole tu maana makosa walifanya toka mwanzo... Sasa wakubali kupakatwa tu hawana jinsi.


Kwa akili unadhani kawakomoa Chadema pekee hadi useme haya ?Mh una kazi kubwa mbeleni tulia utaona .
 
Ama kweli siasa ni mchezo mchafu,sioni nini walichoenda kufanya ikulu na mswada ukasainiwa while walituambia wanaenda kumshinikiza Rais asi saini mswada na asipoelewa maandamano nchi nzima,hayo ndio matok,IMANI IMETOWEKA NA HAO CDM!
 
Mlitegemea jipya kwani, tushikamane jamani tujenge taifa, je tufanye nini ili tujikite kwenye kufanya kazi na kuwajibika ipasavyo na kuacha kabisa blabla na kusogoa maofisini?

Tufanyenini ili kuhakikisha wezi, hasa huko mawizarani wanapewa adhabu kali hata ikiwezekana iwe ya kifo kwa uwapiga mawe na kuwachoma moto kama tufanyavyo kwa vibaka; na tufanye nini ili kila mmoja wetu atii sheria na kutumia madaraka yake kwa faida ya wananchi? Tufanye nini ili kila mmoja wetu atimize wajibu wake bila kusukumwa au kukumbushwa?

Katiba mbovu inazaa serikali mbovu yenye wafanyakazi wabovu. Hakuna wa kuwajibika kwa sababu katiba imewakataza kupitia uongozi wa kifalme. OMBWE LA UONGOZE NDICHO KIINI CHA KUSUA SUA KWA KILA KITU. GROW UP YOU WILL SEE IT. Nakuahidi tarajia mambo mabaya zaidi kwa utaratibu huu tunaokwenda nao
 
Ndugu zangu ni rahisi sana kuwalaumu viongozi wa CHADEMA kwa hili, lakini kumbuka kwamba magamba wamefunga kila njia halali za kuipata katiba mpya iliyo halali, Magamba wako tayari kuua kuhakikisha katiba halali haipatikani. Kwa mfano mkitoa tarifa ya kuandamana kudaia katiba halalii, polisi watawaambia UWT na UVccm wametangulia kutoa taarifa ya kundamana tarehe, root, na muda huo huo munaotaka kuandamana hivyo hawataruhusu kuepusha vurugu. Mara watawaambia haiwezekani kwasababu ya tishio la Alshababu! Viongozi wa CHADEMA wakituambia tuandamane kinguvunguvi kwa sababu ni haki yetu kikatiba, ndo hizo kesi za kufikilika zinafunguliwa dhidi yao. Wao Magamba wanaendelea kupeta kuifisadi nchi kwa "kuthubutu kuweza na kuendele." Ninaamini walichokifanya Mbowe na safu yake ni mkakati wa kuwafikilisha ccm kuwa CHADEMA hawachoki kudai haki za Watanzania.

umeongea pointi sana mwanajf kama ni akili kweli wanazo.
 
Ama kweli siasa ni mchezo mchafu,sioni nini walichoenda kufanya ikulu na mswada ukasainiwa while walituambia wanaenda kumshinikiza Rais asi saini mswada na asipoelewa maandamano nchi nzima,hayo ndio matok,IMANI IMETOWEKA NA HAO CDM!

tuvute subiri! Mh. Mbowe amesema hawako tyr ku2acha kwa gharama yoyote
 
Hakuna kipindi ambacho Chadema mmewekwa kwenye kona mbaya au mmekalia kuti kavu kama kipindi hiki kwa kuwa makubaliano yenu na Rais ambae ni mwenyekiti wa CCM yanaweza kutumika kuwasambalatisha,kwa kuwa mkiwekwa sawa kuja kustuka Chadema chali na Wananchi wanapoteza imani na mvuto nanyi, na Wananchi kupoteza imani nanyi ndio duwa kuu la CCM dhidi yenu,kuna msemo unasema muombee adui yako njaa,ata sullender mwenyewe.

CCM wanaweza kutake advantage kumanipulate mchezo mzima mkajikuta chali. Kwa kuwa hoja ilikuwa ni kumshinikiza Rais asisaini mswada wa sheria ya katiba na sio otherway round,nyie mmeingia kwenye new agreement ambayo haikuwa kusudio lenu.

Kwa kuwa Wananchi waliwatuma kwa niaba yao mmwambie Rais madhara ya kusaini nyie mmekwenda kuvaa viatu vya Raiis kwa kwa vipimo vya CCM.

Nyie wajibu wenu ilikua ni kuachana na makubaliano na kuludisha jibu la waliowatuma wanachma wenu wa CDM na watanzania wanawaunga mkono.sasa hata mimi binafsi naanza kuona hamkubeba dhamana ya Wanachi bali mlibeba dhamana yenu.kwa kuwa mlitumwa na umma nanyi mngeomba muda kuja kuongeaa na watu waliowatuma kama yeye alivyoomba muda kumaliza mazungumzo nanyi siku ya pili.

Hakika Chadema kwa mchezo huu,tia maji tia maji,mnaweza kujikuta chali CCM ikaibuka kidedea,si ajabu laweza kuwa tego. Ole wenu akiteua tume [Kamati ya katiba],Chadema mtafute pa kukaa,simnajua wadau walivyomshikia Kidedea Zitto kwa kuchekacheka na kujipitisha kwa Presidar.manake kwa watu wote makini watawamwaga kwa kukosa msimamo wa Chadema na si kudandia ovyo offer pasipo kuiludisha kwa umma [People's Power-your slogan].

Mmekaa huko mkajiamulia na amkutaka kuwalejeshea maafisa wenu ambao ni Wananchi,ambao huwa mkishikwa kidogo tu mnakimbilia kulia kwao na kuomba kinga yao. Haya yetu macho!!!!!!!!!!one mistake one goal!!!!!!!!!!ukileta na kutafutiwa masoo,kila mmoja atakula kona,kuja kustuka umoja mlioingia nao ikulu umeishia kwenye kutoka kila mmoja na lwake. Tuombe mungu!!!!!!!!!isiwe ni moja ya michezo michafu,ambayo kwa CCM si jambo baya kwa kuwa wao kanuni yao ni moja "Mapinduzi Daima"
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Thanks to Dr. Slaa you really know what you are doing! Yes kuna milima mbele yako usife moyo kamanda once in a while if not today tommorow if not you then somebody lakini utabaki kuwa hero!
 
Chadema kwa hili mlilolitenda hamna tofauti na Mkulima mmoja wa maeneo ya uko kwetu usukumani ambako jamaa alikuwa na shughuri ya kilimo kuamkia siku ya pili kwa maana ya kesho,tunaita kilimo hicho chake ni aina hiyo NGESE yani kilimo cha shamba kubwa kinachoitaji nguvu kubwa.Hivyo jamaa huyo alikuwa hana ngombe na jembe la kulimia ngesse hiyo hivyo ikambidi aaende kuazima kwa jirani yake.Jamaa jioni mdogo mdogo akasogea kwa jirani yake mwenye vifaa hvvyo vya ngesee yani kilimo.

Jamaa alipofika akakuta weneyeji wake wanakula Ugali na mboga ya mzubo [Juice na Chai] wakamkaribisha jamaa karibu mgeni alivyokuwa hamnazo akaweka masaburi yake chini na kuanza kufakamia ugali na mzubo.Kwenye hatua za kuendelea kuumanga huku akiendelea kupiga soga nyingine kabisa tofauti na shida yake kwa wenyeji wake,story zenyewe na wenyeji wake mara oooh mara eeehh.Kidogo wanasikika hodi kuna mgeni mwingine mlangoni, wenyeji wakampa karibu mpaka ndani na karibu ya mwisho kwa mgeni ni kuambiwa karibu mkekani ujiunge nasi kwenye chakula ugali na mboga ya mzuboa [AKA JUICE NA CHAI].

Mkaribishwaji akaibuka na yake moyoni kwa kuwaambia wenyeji wake jamani sahamaanini sana kama nitawakwaza yani mguu huu hapa kwenu kabla ya yote kilichonileta ni Jembe na Ngombe kesho nina bonge ya NGESE jamani hivyo nijuzeni haraka kama nitapata au la manake vinginevyo mimi huu mguu na njia mpaka nipate kutimiza shida yangu.

Wenyeji kwa kusikia ujumbe wake huo wakamwambia kisukuma NDOO SHIDA,IGESHAGE TOLYE WAPANDEKAGA [yani kaa tule wewe umeshapata /timiziwa shida yako ndugu] basi mgeni huyu akaweka masaburi yake na kunawa kisha kuanza kusukumiza ugali wa kisukumio cha mzubo na maziwa kwa raha mstarehe.

MJINGA wa kwanza kufika kusikia mwenzie kaomba akatangaza shibe yake [Yeeh wajameni na mimi nilikuwa ninaitaji Jembe na Ngombe ndio vilinileta hapa kwenu nilikuwa nasubili tumalize kula niwaambie,wakamwambia ndio hivyo tena aliekuja kwa nia ya shida hiyo kesha chukua'[Yani kwa kisukuma walimwambia PUMBAAAAAAAAAAAAAAAAAFFFFFFUUUUUUUUUUUU!!!!!!!!!!!!!.[Yani tamka kama vile anavyotamka mcheza sinema wa kizazi kipya Nchini Ray Kigosi-Manake huyu uitamka Pumbavu kwa kisukuma na kwa sauti sahiii].

Hakika Chadema isijekuwa ni huyu mami wa kwanza aliejali kula ugali na mzubo [JUICE YA PASSION NA CHAI] basi mwenye Jembe na Ngombe [Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania] uenda anasubilia mwenye shida genuine ya kweli apewe JEMBE NA NGOMBE kwa kuwa wa kwanza alikuwa CUF na si ajabu CDM nao wakaingia kwenye mchezo ule ule wa kukaa na kufakamia Juice na Chai na kusahau kuonyesha kuwa mguu ule ikulu serious ni mpaka niambie JEMBE NA NGOMBE VIPO NDIO NAKAA KULA vinginevyo kisukuma tunasema YAYA [YANI HAPANA].
 
Waliokuwa na sera ya katiba mpya ni CUF toka awali na walishaandika wanayoipendekeza, magwanda wamerukia njiani tu, na kama uonavyo, magwanda hawana jipya, maandamani walianzisha CUF, kususa walianzisha CUF, CUF walisusa kabisa kuingi baraza la wawakilishi na walikuwa hawachukuwi posho wala mishahara. Umesaau, hawa magwanda hawana jipya, na mpaka la kuonana na Rais, CUF walianza na ikawasaidia sana, magwanda nayo hii imewasaidia sana kisiasa. Hawana jipya.
Hapana bibie wakati CUF inawakilisha wazo la katiba mpya CUF na Chadema walikuwa chama kimoja (Partners) na mgombea urais alikuwa Lipumba tu. Vitu vyote hivyo walikuwa pamoja chini ya uongozi wa Lipumba..Kilichowageuza wao na kubadilika ndio tunashindwa kuelewa leo wako na CCM..Na walipinga katiba mpya bungeni mapema mwaka huu kama walivyopinga CCM isipokuwa JK ndio kawatoa nishai, leo hii katiba ni ya CCM na CUF..
 
Waliokuwa na sera ya katiba mpya ni CUF toka awali na walishaandika wanayoipendekeza, magwanda wamerukia njiani tu, na kama uonavyo, magwanda hawana jipya, maandamani walianzisha CUF, kususa walianzisha CUF, CUF walisusa kabisa kuingi baraza la wawakilishi na walikuwa hawachukuwi posho wala mishahara. Umesaau, hawa magwanda hawana jipya, na mpaka la kuonana na Rais, CUF walianza na ikawasaidia sana, magwanda nayo hii imewasaidia sana kisiasa. Hawana jipya.
Bibie,
Aliyerukia njiani ni Kikwete. Hii haikuwemo kwenye ilani ya CCM. Haikuwemo kwenye kampeni zake lakini ghafla ameifanya kuwa ni pendekezo lake. Wapi na wapi? Anyway, in the final analysis it was Chadema's push that made Kikwete adopt the katiba issue. It was not CUF. Hawa walishaolewa na kuridhika na hali halisi. By the way, mwenyekiti wenu Lipumba kapotelea wapi?
 
Back
Top Bottom