Wakuu hivi kwa nini wanasiasa wa Tanzania wanapenda sana kupakana matope?
Badala ya kuweka kipaumbele cha kuleta maendeleo kwa wananchi wake wao kazi kusemana tu.
Ndio maana hutuendelei, sasa hivi wanafikiria uchaguzi wa 2010 hakuna cha ahadi walizotoa 2005. Kusema kweli huyu mtu anitwa Bagenda anatumiwa sana, hafai .
Lakini inaonekana pia Mh kachukia sana ndio maana hata mavazi(combat) yake aliyovaa kama ni ya CHADEMA vile.
Yetu mimacho.
Badala ya kuweka kipaumbele cha kuleta maendeleo kwa wananchi wake wao kazi kusemana tu.
Ndio maana hutuendelei, sasa hivi wanafikiria uchaguzi wa 2010 hakuna cha ahadi walizotoa 2005. Kusema kweli huyu mtu anitwa Bagenda anatumiwa sana, hafai .
Lakini inaonekana pia Mh kachukia sana ndio maana hata mavazi(combat) yake aliyovaa kama ni ya CHADEMA vile.
Yetu mimacho.