St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,635
- 4,519
Asikudanganye mtu,vyepe vya uswazi vina utamu wake na kama wewe ni mtu wa kuingia 5 star hotels na umeshavionja vya uswazi unaweza kukubaliana nami kuwa huko mahotelini ni vurugu na kuibiwa fedha tu lakini uswazi kitu fresh kinatoka jikoni unakiona na hata siku moja huwezi pewa kiepe cha jana,keep it up dogo...