Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Ndugu zangu kumekuwa na habari za upotoshwaji pengine makusudi au kutokujua!
Tangu jana kuna thread hapa ina tiririka ikisema TETESI: Lowassa Hoi
Lakini leo kwa macho yangu ya nyama na wabunge wengi watakuwa mashahidi ni kuwa Mh Lowasa yupo bungeni mjini Dodoma akiendelea na uwajibikaji kwa Taifa kama kawaida,
Binafsi sijamuona kama ana dalili za kuumwa wala kuwa HOI kama ilivyo rippotiwa hapa!
Anaetaka kushuhudia aende Bungeni Dodoma leo!
Tangu jana kuna thread hapa ina tiririka ikisema TETESI: Lowassa Hoi
Lakini leo kwa macho yangu ya nyama na wabunge wengi watakuwa mashahidi ni kuwa Mh Lowasa yupo bungeni mjini Dodoma akiendelea na uwajibikaji kwa Taifa kama kawaida,
Binafsi sijamuona kama ana dalili za kuumwa wala kuwa HOI kama ilivyo rippotiwa hapa!
Anaetaka kushuhudia aende Bungeni Dodoma leo!