Mh. Lema inakuwaje Meya umualike awe mgeni rasmi?

GeniusBrain

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
4,315
306
Kwenye taarifa ya habari ya RADIO ONE ya saa 1 asubuhi ya leo (02.02.2012) . Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo la Arusha ulitoa misaada mbali mbali kwa watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi ambapo mgeni rasmi alikuwa Meya wa mji wa Arusha Gaudence Lyimo. My take : Mfuko wa jimbo huongozwa na mbunge wa jimbo husika, ambapo mbunge wa Arusha mjini ni Mh. G.Lema. Ilikuwaje Mh. Lema amualike meya ambae yeye aliisha sema hamtambui kuwa mgeni rasmi?. Au ndio kusema Mh. Lema ameisha anza kumtambua Meya kidogo kidogo na hivyo kuanza kula matapishi yake mwenyewe?
 
Lema yuko systematic sana na ,mambo yake,labda aje jamvin ajibu mwenyewe.kwa ninavyomfahamu hawezifanyau saliti
 
lema amegundua kuwa alikuwa mpumbavu ndio mana ameamua kuwa mpole tu
 
Lema ni mtu mwenye msimamo dhabiti anapigania siku zote haki na utu wa mwanadamu,hawezi kufanya ujinga kama huo hata siku moja!
 
Haya ni matokeo ya fundisho alilopata Lema kwenye gereza la Kisongo.
Amabadilika sana, hata jazba za shari alizokuwa nazo siku hizi zimeisha.

Tusimbeze, tumpe moyo. Nuru ya ustaarabu imeanza kumwaangaza.
 
Lema yuko Bungeni itakuwaje amwalikr Limo?


Haya ni matokeo ya fundisho alilopata Lema kwenye gereza la Kisongo.
Amabadilika sana, hata jazba za shari alizokuwa nazo siku hizi zimeisha.

Tusimbeze, tumpe moyo. Nuru ya ustaarabu imeanza kumwaangaza.
 
Kwenye taarifa ya habari ya RADIO ONE ya saa 1 asubuhi ya leo (02.02.2012) . Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo la Arusha ulitoa misaada mbali mbali kwa watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi ambapo mgeni rasmi alikuwa Meya wa mji wa Arusha Gaudence Lyimo.My take : Mfuko wa jimbo huongozwa na mbunge wa jimbo husika, ambapo mbunge wa Arusha mjini ni Mh. G.Lema. Ilikuwaje Mh. Lema amualike meya ambae yeye aliisha sema hamtambui kuwa mgeni rasmi?. Au ndio kusema Mh. Lema ameisha anza kumtambua Meya kidogo kidogo na hivyo kuanza kula matapishi yake mwenyewe?

Mkuu wangu ukimfuatilia Lema na siasa zake za kitoto mwisho wa siku utaonekana mjinga.

Nilisema na nitaendela kusema Meya wa Arusha au sehemu nyingine ya JMT anatambuliwa na sheria pamoja na kanuni tulizojiwekea.Meya wa Arusha haitaji kutambuliwa na Mheshimiwa Lema kwakuwa ni mbunge wa Arusha suala hili halihitaji utumie akili nyingi.

Sheria iko wazi iwapo mtu/mwanasiasa/madiwani/chama cha siasa hakikuridhika na utaratibu wa uchaguzi wa Meya atatakiwa kupinga mahakamani ndani ya siku 30.Badala ya kufuata utaratibu wa mahakama ukabuniwa utaratibu wa maandamano ambayo mpaka leo hayajazaa matunda yoyote bado G Lyimo ni Meya wa Arusha na ataendela na wadhifa wake mpaka mwaka 2015 !.

Mashabiki wa CDM niliwaambia wakanikatalia leo ukigusia suala la Meya wanaweweseka.
 
Mkuu Pakajimmy.

Maaskofu wa KKKT na Catholic mwanzoni walimpinga sana G Lyimo siku hizo wako pamoja wanapiga mzigo siasa za kitoto wameweka pembeni.


Ni kweli umeweka source lakini bado kuna shaka, hasa ukizingatia credibility ya Mleta habari!
 
Madiwani waliingia kwenye vikao vya baraza la madiwani wakafukuzwa uanachama? au na Lema atafukuzwa?
 
Back
Top Bottom