Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,140
- 13,215
Kaambiwa wapi na lini?-tupe source ya taarifa/udaku
Mh Lema, aambiwa kesi hii lazima kesi hii"ikutie kidole" na ndugu Zuberi Mwombeji
My Take;
Maadili ya utwala wa sheria uwapi kama kiongozi wa serikali kama huyu anathubutu kumwambie kiongozi aliyechaguliwa na watu elfu 56 kuwa atatiwa kidole ??? kweli uwapi uungwana uwapi ubinadamu uwapi utawala bora. Mimi Lema sikupendi kwa kukurupuka kwako lakini si ungi mkono kutukanwa kwako.
Zuberi Mwombeji njaa itakuponza shauri yako umeona alipo ishia MAHITA na maborisi wengine kama Zombe shauri yako wewe tumika tu na al- shabaab.