Mh Lazaro Samwel Nyalandu MP Singida Kaskazini

we sasa unatafuta ugomvi, tumeambiwa alikua smart sana, tena kasoma USA, ilboru na kibaha... hebu acha dharau aisee

Na ugomvi uwe mi nasimama kwenye facts! iyo ya mali na wadada atajua yeye mimi naangalia uwezo wake darasani, napata ugumu hapa sina data za kutosha jamaa aliwezaje kupata division one,nachojua alikimbia science akawa anaimba kwaya kwenda mbele! hakuwaqa mzuri hata 10 best kwenye darasa lao akuwepo nawakumbuka wote.Kitu kimoja kibaha ilikua shule nzuri ata wakawaida shule nyingine ataonekana mkali.
 
Mkuu post yako ina raise more questions, than trying to clarify. According to Wardorf, accelerated adult degree programs addresses "the educational needs of working adults in the North Iowa area. The program is designed to provide adults the opportunity to complete their associate in arts degree and their bachelor of arts degree in business in the evening. Normally classes meet twice a week during four ten-week terms each year. This accelerated format allows working adults to complete their associate's degree in as little as two years and their bachelor's degree in business in four to five years."

Tofautisha hapo kati ya "associate's degree in as little as two years" na "bachelor's degree in business in four to five years." Kama ilikuwa sio business related degree angeimaliza ndani ya miaka miwili. Lakini kwa vile degree yake ilikuwa ni business related, i.e, business admininistration, na aliisoma as accelerated program, then angeimaliza baada ya miaka minne. Sijui umenipata hapo? Pili accelerated degree zimelengwa kwa "working adult". Je, wakati huo yeye alikuwa ni "working adult"? If so, kwenye CV yake inaonyesha kati ya mwaka 1994 na 1996 alikuwa anafanya kazi wapi?

Lakini the biggest issue ni kuwa ilikuwaje akakubaliwa kusoma accelerated programs? Tena kwenye vyuo viwili? As far as I know, he should have been admitted as an international student unless alikuwa pia raia wa Marekani.

Halafu hiyo degree ya Watburg, yeye anasema ni BA (Business Administration). Wewe unasema bachelor degree in international business. Hakuna tofauti hapo? Au una maana ali major kwenye international business?

Nadhani hii inatoa jibu ni waziri gani ni raia wa marekani kwa jinsi nilivyopitia maelezo ya hivyo vyuo ni kwa ajili sana ya watu wa IOWA
hata hivyo havina mfumo mzuri kwa kutoka mataifa kama yetu, kwa score za nyarunda A level sio sababu za yeye kwenda college badala ya university, majibu ya uongo wa huyo bwana yako kwenye elimu yake kama mtu akichimba aliandikishwa je hapo chuoni kuna uwezekana majibu yote yakaibuka.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
mkuu...
sikuwa hewani kwa muda kidogo...
nilijaribu kueleza hapo mwanzo kwamba kwa vigezo vilivyowekwa kwa ajili ya kusoma accelerated program ni lazima alikuwa anafanya kazi kule kwani kwa kigezo cha u adult atakuwa alikidhi.
huu ni mtazamo tu mkuu.

Mkuu alikuwa anakidhi vipi kigezo cha u adult? Kwa mtazamo wako huoni kama una suggest kuwa alikuwa raia wa Marekani?
 
hata ada za hivyo vyuo ni ndogo mno , kuna vyuo kama hivyo kwa wanafunzi ambao hawakupa nafasi ya kwenda university,
mimi nimefika tamati NYARANDU ni mmarekani na hii iko wazi sana na jk analijua ili
 
Na ugomvi uwe mi nasimama kwenye facts! iyo ya mali na wadada atajua yeye mimi naangalia uwezo wake darasani, napata ugumu hapa sina data za kutosha jamaa aliwezaje kupata division one,nachojua alikimbia science akawa anaimba kwaya kwenda mbele! hakuwaqa mzuri hata 10 best kwenye darasa lao akuwepo nawakumbuka wote.Kitu kimoja kibaha ilikua shule nzuri ata wakawaida shule nyingine ataonekana mkali.
nakuunga mkono, sijawahi kusikia 'kichwa' kinaenda kusoma elimu ya watu wazimia hasa in the years huyu baba anasoma

something fishy is cooking

utasikia anaitwa Dkt Lazaro nyalandu Fallacy sasa hivi
 
nakuunga mkono, sijawahi kusikia 'kichwa' kinaenda kusoma elimu ya watu wazimia hasa in the years huyu baba anasoma

something fishy is cooking

utasikia anaitwa Dkt Lazaro nyalandu Fallacy sasa hivi


Ndani ya Magamba Kila kitu kinawezekana.
 
Mimi alikua mbele yangu mwaka mmoja kibaha,kwenye watu ambao sijajua alifikaje A'level ni Nyarandu enzi hizi alikua akijulikana aka Mshua, uwezo wake darasani ulikua below average.Na asikuambie mtu hakuna shule rahisi kama O'level!

watu kama wewe mkiwa wengi kwenye nchi laana haiwezi kwisha
 
Kuhusu issue ya elimu yake anahitaj kuweka some clarifications lakini issue ya kupiga mipunga come guys, put yourself in his shoes.uadilifu na weledi si jambo dogo,everyone is struggling kufanikiwa na hata tunaomponda ni fisadi je tungekabidhiwa sisi vitengo si ndo tungeanzisha kabisa masunagogi ya kuhifadhi meno ya tembo? lets be realistic wazee
 
WEWE NDIO HUJUI KABISA... Hakuna Chuo, au Shule inayoitwa Waldorf University College wala shule ama Chuo kinachoitwa Wartburg University College. Kuna Waldorf College iliyopo Forest City, na kuna Wartburg College iliyopo Waverly...zote zipo Iowa lakini si UNIVERSITY. Do you get our point. Kosa la muhusika kuripoti vitu ambavyo siyo....Hizi ni shule ndogo tu na nimetembelea Campus zake...Waldorf ni ya wanafunzi less than 1000 na Wartburg ni ya <2500 students. Both are Lutheran schools...Liberal arts.

Hata kama mtu kasomea marekani kwenye vyuo vya uchochoron bado ataonekana msomi.

http://wiki.answers.com/Q/What_is_the_difference_between_a_college_and_a_university
 
halafu mwaka huo huo wa 1996 akaanza digrii nyingine? inamaana wkt yupo mwaka wa mwisho alikuwa keshaanza mwaka wa kwanza chuo kingine? wewe kweli kiazi.

Mbona hakuna cha ajabu hapo mkuu, punguza hasira tulia uelimishwe hujui chochote.
 
Back
Top Bottom