TreasureFred
Member
- Feb 25, 2008
- 64
- 3
wana jf nimeamua kupost hili jambo baada ya kuona mpiganaji anataka kua soko la mkonge kwa kulinda biashara ya mpiganaji mwenzie.
"Mh kimaro amemuuliza swali PM Pinda kuwa serekali imelazimisha wakulima wa kahawa kutumia magunia ya katani huku magunia ya JUTE yanayotoka india na Bangladesh ni gharama nafuu na amemuomba waziri mkuu kutoa amri hiyo"katika hili PM amemjibu vizuri kuwa wanalinda viwanda vya ndani.
Wana Jf nimeleta hoja hii kwakujaribu kuunganisha tukio hili la Kimaro na Uhusiano wake na Mh MWAKIEMBE.
Kwa wafatiliaji wa mambo watakumbuka kuwa mwakiembe ndie aneagiza magunia ya JUTE toka INDIA kupitia kampuni yake ya TBC,na kwa hili pia inafahamika viwanda vinavyozalisha JUTE india vimepata soko la uhakika na kutengeneza ajira kwao ya watu zaidi ya laki tano,wakati mkonge hapa kwetu hauna soko nje baada ya soko letu kubwa la makampuni ya magari kuacha kununua bidhaa hii.
Nachojiuliza isi out of Ignorance kimaro ameuliza au analinda maslahi ya Mwakiembe?itakumbukwa kuwa Mbunge wa Upinzani aneitwa Zitto Kabwe amekuwa akiitaka serekali kupitisha sheria ya matumizi ya bidhaa za mkonge ili kulinda zao hilo na viwanda vya magunia,pia itakumbukwa kuwa 2007 zito kabwe aliwahi kutaka kupeleka mswaada binfsi bungeni wa kutaka matumizi ya mgunia yanayotokana na mkonge liwe jambo la lazima lakini kwa uchanga wake wakati huo aliombwa na Mwakiembe asipeleke kwa hoja kuwa atakuwa ANAMSAIDIA MOHAMED ENTERPRISES kwani ndie mzalishaji mkuu na anaviwanda vingi vya magunia haina tija mswaada ukipita utakuwa unampa maslahi mtu mmoja,zito akachukua ushauri huo akaacha jambo ambalo naamini mpaka leo anajutia kwani Mutilplier effect ya mswaada/sheria hiyo ingekuwa kubwa pamoja ya kuwa MO ndie mwenye viwanda but ajira zingetengenezwa nyingi,wakulima wangepata soko,serekali ingepata kodi lakini hayao yamepita.
Nacho jiuliza je kimaro hakujua kuwa ombi lake lingepeleka kabisa kaburini mkonge?au alikuwa analinda maslahi ya MWAKIEMBE? hebu wana JF tulijadili hili bila kuangalia maslahi/ya binafsi or kundi.
naomba kuwasilisha.
"Mh kimaro amemuuliza swali PM Pinda kuwa serekali imelazimisha wakulima wa kahawa kutumia magunia ya katani huku magunia ya JUTE yanayotoka india na Bangladesh ni gharama nafuu na amemuomba waziri mkuu kutoa amri hiyo"katika hili PM amemjibu vizuri kuwa wanalinda viwanda vya ndani.
Wana Jf nimeleta hoja hii kwakujaribu kuunganisha tukio hili la Kimaro na Uhusiano wake na Mh MWAKIEMBE.
Kwa wafatiliaji wa mambo watakumbuka kuwa mwakiembe ndie aneagiza magunia ya JUTE toka INDIA kupitia kampuni yake ya TBC,na kwa hili pia inafahamika viwanda vinavyozalisha JUTE india vimepata soko la uhakika na kutengeneza ajira kwao ya watu zaidi ya laki tano,wakati mkonge hapa kwetu hauna soko nje baada ya soko letu kubwa la makampuni ya magari kuacha kununua bidhaa hii.
Nachojiuliza isi out of Ignorance kimaro ameuliza au analinda maslahi ya Mwakiembe?itakumbukwa kuwa Mbunge wa Upinzani aneitwa Zitto Kabwe amekuwa akiitaka serekali kupitisha sheria ya matumizi ya bidhaa za mkonge ili kulinda zao hilo na viwanda vya magunia,pia itakumbukwa kuwa 2007 zito kabwe aliwahi kutaka kupeleka mswaada binfsi bungeni wa kutaka matumizi ya mgunia yanayotokana na mkonge liwe jambo la lazima lakini kwa uchanga wake wakati huo aliombwa na Mwakiembe asipeleke kwa hoja kuwa atakuwa ANAMSAIDIA MOHAMED ENTERPRISES kwani ndie mzalishaji mkuu na anaviwanda vingi vya magunia haina tija mswaada ukipita utakuwa unampa maslahi mtu mmoja,zito akachukua ushauri huo akaacha jambo ambalo naamini mpaka leo anajutia kwani Mutilplier effect ya mswaada/sheria hiyo ingekuwa kubwa pamoja ya kuwa MO ndie mwenye viwanda but ajira zingetengenezwa nyingi,wakulima wangepata soko,serekali ingepata kodi lakini hayao yamepita.
Nacho jiuliza je kimaro hakujua kuwa ombi lake lingepeleka kabisa kaburini mkonge?au alikuwa analinda maslahi ya MWAKIEMBE? hebu wana JF tulijadili hili bila kuangalia maslahi/ya binafsi or kundi.
naomba kuwasilisha.