naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 668
Ni jambo lililowazi kabisa kwamba serikali hii ya awamu ya nne sasa imepoteza mwelekeo kuliko serikali zilizopita,uchapa kazi wa Mh Lowassa alivyokuwa pm ndo uliofanya watu wengi kutoona udhaifu binafsi wa rais wetu.
Mahali popote utendaji wa viongozi unategemea zaidi utendaji wa viongozi waandamizi, ni ukweli usiofichika kuwa baada ya Lowassa kuondoka serikali imeyumba sana. Utendaji huu wa Lowassa wa kusimama na kutoa decision kwa wakati na pia kupata feedback kwa watendaji ndo ulimfanya rais arelax zaid.
Lowassa ameondoka Kikwete amebaki kama yatima hajui anzie wap na amalizie wap,changamoto ni nyingi,mh kikwete kummefanya mara nyingi kuwa mwoga wa kutoa kauli stahiki kwenye maswala mbalimbali yanayogusha maisha ya watz
Nawasalisha
Mahali popote utendaji wa viongozi unategemea zaidi utendaji wa viongozi waandamizi, ni ukweli usiofichika kuwa baada ya Lowassa kuondoka serikali imeyumba sana. Utendaji huu wa Lowassa wa kusimama na kutoa decision kwa wakati na pia kupata feedback kwa watendaji ndo ulimfanya rais arelax zaid.
Lowassa ameondoka Kikwete amebaki kama yatima hajui anzie wap na amalizie wap,changamoto ni nyingi,mh kikwete kummefanya mara nyingi kuwa mwoga wa kutoa kauli stahiki kwenye maswala mbalimbali yanayogusha maisha ya watz
Nawasalisha