Naangalia kipindi cha chereko kinachorushwa na tbc.mtoto wa jenister mhagama anaitwa regina anafanyiwa kitchen party. Mama kageuka mc.had mc kamwambia matron afanye kaz yake kwan mama mtu amekata keki,amewalisha.eti kaka yake na bibi harus mtarajiwa alitaka kuhudhuria kitchen party. Mwanamme wap na wap kwenye ktchn party. Mh komba na muhagama wanakata mauno. Harus kila kitu unawaachia wana kamati wanafanya kila kitu.Hapa tunaonyeshwa nini?tuna wabunge wa aina gani? Hii ndiyo style ya ma-ccm kudandia kila kitu mf. Katiba, ajenda ya ufisad nk?