MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Hongera Mheshimiwa Joseph Selasin, Mbunge wa Rombo kwa kuwa muwazi kuhusiana na utendaji murua wa Rais JK kwa kuwezesha ujenzi wa barabara jimboni mwake.
Amediriki kutamka mbele ya Rais JK kuwa "Ingekuwa amri yake barabara husika ingeitwa Jakaya Kikwete Road"
Source: Taarifa ya HABARI TBC, Saa 2 Usiku, October 30, 2012
Amediriki kutamka mbele ya Rais JK kuwa "Ingekuwa amri yake barabara husika ingeitwa Jakaya Kikwete Road"
Source: Taarifa ya HABARI TBC, Saa 2 Usiku, October 30, 2012