JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
Mh Rais kwa heshima na taadhima naomba nichukue fursa hii kukupongeza wewe na waziri wako mkuu kwa kitendo cha kumdhihaki na kumvunjia heshima Mh. Magufuli,
Kwakuwa mmeonyesha wazi kuwa hampo katika kusimamia sheria za nchi hii ambazo mliapa kuzilinda na kuzisimamia nawaombeni sasa mtumie tena ile huruma yenu kwa wananchi mumuamuru bwana P Magufuli afanye awezalo ili kuhakikisha zile nyumba zetu tulizobomoa kwa amri yake wizara yake izijenge haraka iwezekanavyo na hizi X zilizowekwa na watendaji wake nazo zifutwe mara moja kwa kuwa ziliwekwa bila huruma,
Nakupongeza sana Mh. DR DR DR JK
KIONGOZI ALIYEINGIA MADARAKANI BILA KUFUATA SHERIA
HAWEZI KUZISIMAMIA SHERIA WALA KUZILINDA
AIBU SANA KWA TAIFA HILI
Kwakuwa mmeonyesha wazi kuwa hampo katika kusimamia sheria za nchi hii ambazo mliapa kuzilinda na kuzisimamia nawaombeni sasa mtumie tena ile huruma yenu kwa wananchi mumuamuru bwana P Magufuli afanye awezalo ili kuhakikisha zile nyumba zetu tulizobomoa kwa amri yake wizara yake izijenge haraka iwezekanavyo na hizi X zilizowekwa na watendaji wake nazo zifutwe mara moja kwa kuwa ziliwekwa bila huruma,
Nakupongeza sana Mh. DR DR DR JK
KIONGOZI ALIYEINGIA MADARAKANI BILA KUFUATA SHERIA
HAWEZI KUZISIMAMIA SHERIA WALA KUZILINDA
AIBU SANA KWA TAIFA HILI