Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Asalaam waleikhum wapendwa...
Duniani kuna makubwa jamani.
Si nimeamka zangu leo na kaugonjwa kangu siendi kazini..basi natoka zangu chumbani namkuta jirani yangu apa anaosha vyombo.
Nami kwa heshima na taadhima nikamjulia hali..."za asubuhi shem" ...
Shem:"nzuri vipi hali?"
Mara mshkaji wake katoka nje kabla ata sijamjulia hali kaniambia
"kuanzia leo mimi ndo uniite shem na huyo ni dada yako"
khaaaaaaa....nimeshangaa mjue...kwani tofauti iko wapi?
Au jamani kuna shida gani apo maana mi sijmuelewa...
Duniani kuna makubwa jamani.
Si nimeamka zangu leo na kaugonjwa kangu siendi kazini..basi natoka zangu chumbani namkuta jirani yangu apa anaosha vyombo.
Nami kwa heshima na taadhima nikamjulia hali..."za asubuhi shem" ...
Shem:"nzuri vipi hali?"
Mara mshkaji wake katoka nje kabla ata sijamjulia hali kaniambia
"kuanzia leo mimi ndo uniite shem na huyo ni dada yako"
khaaaaaaa....nimeshangaa mjue...kwani tofauti iko wapi?
Au jamani kuna shida gani apo maana mi sijmuelewa...