Mh jaji mkuu unamjua huyu bwana""upelelezi aujakamilika"" anaishi wapi???tumtafute

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,955
22,126
"binafsi ningeomba cv yake
ingawa si mzuri sana kwenye sheria lakini watanzania wengi naona wamekaa kimya na haka kajamaa ""üpelelezi aujakamilika"" kikiwatesa kwa kula hela za watu hata kama mtu ana kesi mahakamani..mh jaji mkuu ni kweli wapo wengi waliopita kama wewe wakija na dhana ya kuhakikisha kesi inaisha mapema na watu wanahukumiwa lakini wameishia kufa na wengine kungatuka bila utekelezaji wowote....

Leo hii nilikuwa mahakamani pale mahakam kuu kwa kweli nimecheka sana ingawa binafsi nawashukuru baadhi ya walioshiriki ktk kumsaidia kesi ya kubambikiziwa kaka yangu iliomfanya kupoteza ajira na leo akiwa huru baada ya miaka miwili..kuwa ndani bila kesi kutolewa hukumu..hakika ni kaka kwa upande wa jiran lakiini nimekuwa nikichuku jukumu lile kwa nguvu zote nikiamini ufalme wa mungu utakuwa kwangu siku moja

mh jaji mahakimu wengi wamekuwa wakiwachezea wateja wao wakishirikiana na mapolisi kwa kutangaza upeelelezi aujamalizikka..haka kajamaa

upelelezi ni nani??

Anaishi wapi??

Na amesoma mpaka wapi???

Sidhan atakuwa amekushinda na elimu yako mh jaji mkuu hata kama umekaa kitini kwa kupewa ama kujuana lakini naamini elimu yako imechangia..sasa ni wazi tunaomba hii mianya ya rushwa ifike sehemu mseme basi mahakamani jamani hii ni aibu kubwa watu wanateseka sana sana..hiyo kesi waliliwa sana kabla ya kupata mwongozo na kufikia baadhi ya mashirika kuisimamia..hii aibu naomba mh jaji mkuu ukiwa na mkeo na watoto wako mkiangalia tv embu jifikirien ama omben mungu usiku mwote mnapelekwa segerea ndani ya gari ya ccm..na huku mkijua amkutenda kosa hilo...embu chukulien mara mbilimbli

wanasheria nao hivi sasa wameanza kuwa wahuni kwa kushirikiana na mahakimu kudai kesi ngumu sana inaitaji kiasi kadhaa duuh jamani kweli nyie watetezi tutafika

alberto tudaidien kwa hili sheri inasemaje mtu akikamatwa na kushtakiwa...hawa wanaokaa miaka miwili mitatu wanawekwa kwakuwa wahudumu wa jela n wachche then watumike ama...

Ewe mungu wa rehema mjaza neema ndogo na kubwaa ahsante kwa kumpa cheo hiki jaji wetu mkuu ili aweze kusikiliza malalamiko na shida za watanzania wote bila kujali dar es salaam pekee ..eee mungu naomba umpe nguvu ya kuondoa uozo wote bila kujali alisoma nae sharobaro high school kupitia jina lako tunaomba adhabu ya dunia iwaangukie wote majaji na mahakimu wanaopindisha sheria kwa kuwaweka watu mahabusi zaidi ya muda unaotakiwa na pengine raha ya mauti uwaanggazie ee bwana na moto wa milele walale nao kwa amani

amen
wasaalam
app-pdidy
 
tatizo ni sheria yetu ya mwenendo wa makosa ya jinai(CPA) inaruhusu mtu kushtakiwa hata kama upelelezi haujakamlika tofuati na nchi za wenzetu mtu hapelekwi mahakamani kama upelelezi bado,sheria hii imeruhusu jamhuri kuandaa upelezi kwa siku 60 na kama hawajamaliza imeruhusu pia jamhuri kuomba nyongeza ya siku kadhaa kwa kuandika kiapo cha nyongeza ya muda kikisainiwa na DPP.Haya ni mapungufu.Kwa jaji au hakimu makini anatakiwa kufuta kesi mara moja kama upelelezi haujakamilika ndani ya siku 60 kwa kifungu cha 225(5) lakini sasa kifungu hicho kinaruhusu jamhuri kufungua tena kesi hiyo hiyo hata kama mahakama imefuta.Yahitaji marekebisho makubwa ya hii sheria ila kuendana na wakati.Si makosa yote yanayoweza kuruhusu hakimu au jaji kufuta kesi ndani ya siku 60 kama kesi za uhaini,kukamtwa na nyara za serikali na mauaji nk ila ujambazi au kama wizi awez akufuta ili haki itendeke kwani mara nyingi polisi wanatabia ya kufungua mashtaka feki ili kukomoa watu.
 
Serikali ya vilaza
mahakamani kuna Majaji vilaza
Bunge la vilaza
Polisi Vilaza
rais Kilaza Mawaziri Vilaza
TV zinaonyesha picha za Vilaza
Redioni kuna vilaza
Kila sehemu unayokwenda kuna Vilaza, Nitajilipua na kuondoka na watu huko Magogoni...Ipo siku
 
Halafu kuna hii ajira nyingine ya kusaidia Polisi bila magwanda, huwa linatusweka ndani kiholela sana. Lakini waheshimiwa kama akina Rtd Brigadier General Yahya Al Adawi (DOWANS) hawastahili kupata ajira hii ya muda hata kama kuna mizengwe ya wazi. Wanakuja, wanagoma kupigwa picha, wanafanya mambo yao then haooo. TUNASAIDIA POLISI huku tukiwa wahalifu bandia....
 
Back
Top Bottom