Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,954
- 22,125
Unajjua kuna wazee tangu unasoma unasikia wameitia hasara serikali na mpaka leo tumeoa
tuna wattoto na wengine wajukuu bado wanaendelea kuitia hasara serikali hawa watu wanapata wpi hiko kiburi cha kutuibia
iddi simba kwa mnaokumbuka alituingiza mkenge na issue zake zilizofichuliwa na mrema augustino ..sasa bado mkampa uda jamani nyie kuna watu wanakulal nae nimesoma mada ya mwanakijiji lakini inabidi huyu bwana abanwe vizuri jamani aeleze hizo hela zilikuwa zinaelekea wapi ama ndio kwenye ile nanii yake ya kukopa na kulipa inayowafilisi wamama wa mtaani kila siku sijui wanaiitaje iko pale magomeni..na aeleze faida ya hizo hela zimeenda wapi ..na kwa nini asifungwe..
tuna wattoto na wengine wajukuu bado wanaendelea kuitia hasara serikali hawa watu wanapata wpi hiko kiburi cha kutuibia
iddi simba kwa mnaokumbuka alituingiza mkenge na issue zake zilizofichuliwa na mrema augustino ..sasa bado mkampa uda jamani nyie kuna watu wanakulal nae nimesoma mada ya mwanakijiji lakini inabidi huyu bwana abanwe vizuri jamani aeleze hizo hela zilikuwa zinaelekea wapi ama ndio kwenye ile nanii yake ya kukopa na kulipa inayowafilisi wamama wa mtaani kila siku sijui wanaiitaje iko pale magomeni..na aeleze faida ya hizo hela zimeenda wapi ..na kwa nini asifungwe..